Watanzania waitikisa Marekani kwa utapeli

Watanzania waitikisa Marekani kwa utapeli


Mashtaka mapya
Siku tatu kabla ya hukumu ya Juni 16 mwaka huu, Wambura alijikuta katika sakata lingine pale alipokamatwa na polisi na watu wengine watano, wakihusishwa na utapeli mwingine wa kujipatia Dola za Marekani 3.5 milioni (karibu Sh5.8 bilioni) kupitia mikopo ya fedha kwa ajili ya nyumba.






Mkuu, siyo sahihi hapo juu. Hakuna mashtaka mapya. Hiyo habari ya indictment ni ya Juni 13, 2013. Umetia chumvi ulikuwa umenogewa naona.
 
Inategemea kama hizo pesa hawakuishia kujirusha nazo kwa sana katika nchi mbali mbali duniani.

Lakini kama walikuwa wajanja na kusepesha hizo pesa wakitoka huko gerezani mambo yao yaweza kuwa pina tuu.
 
Mie sio mdakuzi bana, kila kitu kinapatikana gugo.

Halafu huyo Max Shimba mbona unamshikia sana bango?

Ulikuwa na dili nae akakuchinchia baharini nini?

ni mtumishi wa mungu.
 
Huyo Cane Mwihava(43) anayeishi Bowie, Maryland namfahamu. Dah!, kweli za mwizi arobaini.
Huko ni kujiaibisha na kuiabisha familia na ndugu pia.
 
Unajua hawa jamaa ni wajinga ukiiba marekani itajulikana ni kwamba inachukua muda tu!. Nakumbuka Houston baada ya watu kufungwa mwaka 2005 wezi wote baada ya hapo walikuwa wanakimbia baada ya kuiba sasa hawa wajinga wamejisahau na kuanza kufungua vyama na kujitafutia majina kwenye community kama vile ni wafanyabiashara wa ukweli. Sasa hivi hawana hata pesa na baada ya kifungo hata green card zinachukuliwa na unarudishwa Tanzania kwa escort!. Umepoteza muda, huna pesa yeyote na kuna jamaa mmoja Texas alilawitiwa jela! kwasababu ukienda jela la miaka mitano sio rumande unapelekwa jela la wahalifu na wengine huko ni wauaji.

sidhani kama watatoka hai..maana kuna watakaofungwa 30 yrs....na kama ukitoka salama lazima uwe mental kwa hio from jail straight to psychatric home.....dah pole zao majizi hawa
 
Huyo Cane Mwihava(43) anayeishi Bowie, Maryland namfahamu. Dah!, kweli za mwizi arobaini.
Huko ni kujiaibisha na kuiabisha familia na ndugu pia.

Sifikirii kujiabisha wao na familia zao tu, ila wanajenga taswira mbaya kwa jamii ya watanzania kwamba tuna tabia hiyo. Siyo mara ya kwanza kwa tukio kama hilo, maana kuna waliokwisha bambwa kwa matukio kama hayo huku Texas na kwingineko lakini hawajifunzi tokana na makosa ya wenzao. Fraud ni mchezo ambao una adhabu kali Marekani.

Maisha ya Marekani si magumu hivi kama mtu anafanya kazi, labda kama walitaka utajiri wa haraka kwa njia za mkato sasa wanajutia huko behind the bars. Mtaka yote kwa pupa hukosa yote.

Msisitizo wa Marekani kwa wahamiaji mara zote wanafunga kwa uwazi na kusisitizia kuishi kwa amani, kufuata sheria na kuwa mwumini wa ukweli katika nyumba za kuabudia, hilo wanasisitiza sana, wao na michepuko ya kujipatia pesa kijanjakijanja waulize kwa nini wamarekani wenyewe hawafanyi hayo.
 
Tumechoka, wakamatwe tu.

Hahahaha....! Umesoma habari au umesoma kichwa cha habari tu? Wakamatwe tu wakati wanatumikia kifungo tayari na wengine wako mahabusu kisi zikiendelea? Umeona baadhi ya dondoo za press release toka mahakamani katika kesi hizo? Soma habari yote upate uweli wa kianchoendelea.
 
Hahahaha....! Umesoma habari au umesoma kichwa cha habari tu? Wakamatwe tu wakati wanatumikia kifungo tayari na wengine wako mahabusu kisi zikiendelea? Umeona baadhi ya dondoo za press release toka mahakamani katika kesi hizo? Soma habari yote upate uweli wa kianchoendelea.


Nilivyosema wakamatwe tu nilimaanisha watanzania wote waharifu nje ya nchi yetu, maana tumechoka kusikia kila kukicha mara huyu analawiti mke wa rafiki yake au sijuwi huyu anafanya hivi.
 
Ni mtoto wa Mzee Gaudios Tibakweitira.

Umeamua kupigilia msumari yaishe Mdau BAK kumbe hawa wanaojihusisha na vyama vya siasa ughaibuni wana yao wanayoficha ndani ya miavuli ya kisiasa. Waliotulia na kazi zao wapate wapi muda wa kuhangaika na siasa?
 
Cane mwihava na fanuel ligate ni watoto wa oysterbay zamani hao nawajua sana. Duh.
 
Huyo Cane Mwihava(43) anayeishi Bowie, Maryland namfahamu. Dah!, kweli za mwizi arobaini.
Huko ni kujiaibisha na kuiabisha familia na ndugu pia.

hawa jamaa msiwabeze ni wakusifia sana, wanajaribu kurusisha hela zilizoibiwa africa

mbona roastam anaiba anapeleka Irani sisi tupo tunangaa ngaa macho , nasema hakuna haibu hapa
 
hawa jamaa msiwabeze ni wakusifia sana, wanajaribu kurusisha hela zilizoibiwa africa

mbona roastam anaiba anapeleka Irani sisi tupo tunangaa ngaa macho , nasema hakuna haibu hapa

Wafanya shughuli kwa uhaliali si kwa utapeli. Nchi ya wenyewe hata wenye nchi wanaogopa sheria zinavyowabana kuhusu utapeli.
 
Back
Top Bottom