Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,077
Mods Chungeni: Sheria za Libel zinaihusu sana taarifa hii....
Tupatieni Caption za hizo picha kujua kuna malengo yasiyokuwa na malice na libel kuchafua mtu au watu katika hizi picha. Unawekaje picha za watu kwenye stori chafu bila kutaja nani ndo yupi katika hizo picha? Je kama mtu kaunganishwa kimakosa? Kikwete anatafuta nini hapo? Huyo mdada ndo nani? anahusikaje? Huyo masharubu kakaa na kikwete ni nani? Hao watu waa bendera ya chama ni kina nani? Wanahusika kivipi katika hii stori chafu?
Mods Mpo?
Tupatieni Caption za hizo picha kujua kuna malengo yasiyokuwa na malice na libel kuchafua mtu au watu katika hizi picha. Unawekaje picha za watu kwenye stori chafu bila kutaja nani ndo yupi katika hizo picha? Je kama mtu kaunganishwa kimakosa? Kikwete anatafuta nini hapo? Huyo mdada ndo nani? anahusikaje? Huyo masharubu kakaa na kikwete ni nani? Hao watu waa bendera ya chama ni kina nani? Wanahusika kivipi katika hii stori chafu?
Mods Mpo?