Ubora wa Elimu inaweza kuwa ni moja ya sababu kuu. Kimsingi graduate wa KY na UG ni bora zaidi ya wa kwetu.Nitakuchapa wewe ushindwe na ulegee watu hata siwajuia wewe ngoja nikuache bahati yako ni kaka yangu nilishaanza kuvuka mipaka
Ni kwanini Wakenya na Waganda wanawaoutshine watanzania katika nafasi nzuri za kazi hasa katika mashirika ya kimataifa hata ndani ya Tanzania.
Nafahamu Kugha ya Kiingereza ni moja ya sababu, naomba tujadili sababu nyingine zaidi, na nini watanzania wafanye ili kuwa bora zaidi.
Karibuni
Anaweza sana na wapo huku mie nawaona bana
Huwa nikisikia hivyo najisikia vibaya kweli najiuliza kwanini lakini?? Mimi kwa kweli hata wakati naandika maombi nilijiamini sana na nikasema nitashinda kwani wao nani bana. Na kweli nilishinda aaiii Watanzania hebu tujiamini bana hakuna kuwaogopa hawa watu ni midomo tu lakini kazi hakuna kabisa. Utakuta anakuja sales person kujitambulisha atakavyojieleza utasema aahhh huyu si ndo wakumpa kazi subiri sasa uitishe utashangaa atakavyochelewa kujibu mpaka umfatilie kama unamdai delivery sasa ndo kiboko wanapitisha hata siku tano hawakamilisha kazi aaahhh mie najivunia kuwa Mtanzania
Ungeandika kisw ingesomeka na kueleweka pia!!Lets not cheat ourselves. In today's world the language of business is English. Communication in English is paramount - oral and written. A very high percentage of graduates in Tanzania do not have any confidence to communicate using English. You may know so much, but if you do not kow how to communicate properly you will always remain in the lower ranks. Besides, how would a prospective employer establish that you know what you say you know if your certificates show that you studied English as a subject in Primary School and after that English was the medium of instruction and yet you cannot construct a sentence in English, a language which you have been exposed to for so many years? Can the
Another problem I have observed with Tanzanians is lack of reliability. Most of them wamejaaa "longo longo" and are bent to getting rich quickly by stealing from their employers. This culture is entrenched in our country and not many people are raising concern about it.
Wabongo tuna utaratibu wa kujirudisha nyuma, tuna phobia ya ushindani. Tunaogopa kushindwa, na kwa mantiki hiyo hatupendi ushindani.
Tumezoea kupata chance kwenye vibakuli, ndo maana nepotism ni kubwa: Mfano Mkuu wa nchi na familia yake wameibinafsisha Ikulu.
Hatujiamini.
Tunapenda kukatishana tamaa badala ya kupeana moyo.
Kwa mfano: Kuna jambo niliamua kulifanya katika kupambana na maisha, cha ajabu marafiki zangu wote wakagoma kunisapoti eti kisa, hilo suala haliwezekani. Luckily nikafanikiwa! Baada ya hapo nao ndiyo wakafunguka macho na kupata moyo kwamba kumbe inawezekana. Ndiyo wako kwenye kulifanya kwa sasa. Kutokana na huu mfano, mara nyingi huwa najiuliza kama wangekubali kuniunga mkono na tukalifanya kwa pamoja wakati ule; leo si tungekuwa tunaelekea level nyingine?