The Giantist
JF-Expert Member
- Dec 12, 2018
- 214
- 86
- Thread starter
- #41
Jifunze kuwa mkweli na uache tabia ya kughushi vyeti. Nenda darasani kasome, upimwe kwa mitihani kisha ufaulu ndio Sasa upate cheti na ukaajriwe. Tabia ya kitonga hakibaliki mpaka mbinguni. Wajibika kwanza na kisha hiyo iwajibike kwako. Kinyume chake ni uhuni kwa jina la Haki na Uhuru.Kwa kweli tumejaribu kwa miaka 5 tumeona hasara yake,