Kertel
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 5,269
- 4,974
Bandiko refu hili kumbe unamuongelea huyu aliyesukumizwa ili ajiribiwe,anayehubiri utengano kwa watanzania wenzetu ambao hawakuchagua wawakilishi toka chama cha mbogamboga,huyu asiyewapenda watanzania wenzetu mama, dada, shangazi zetu weusi,huyu aliyekuwa na lengo la kuwapiga na kuwaua shangazi zetu wa Ruangwa na mikoa ya kusini kwa ujumla, huyu aliyekula rambirambi zilizotolewa na watanzania na wafariji wengine toka nje ya nchi kwa ajili ya ndugu zetu waliokumbwa na tetemeko la ardhi kagera,nk