Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Itapendeza kama viongozi weti nao watakua makini kufanya maamuzi yenye kuweka usawa kwa wananhi paipo kubagua itikadi zao za siasa, ukanda, ukabila na hata udiniKama kuna taifa ambalo Mungu amelibaliki ni taifa la Tanzania. Maana udini na ukabila ni vitu ambavyo havina nafasi kabisa.
Naongea maisha ambayo ni uhalisia wa maisha yetu sisi watanzania. Ukisoma na mtu awe na dini au kabila tofauti huyo anakuwa ndugu yako. Mimi najua kila mtanzania analifahamu hili ndio maana leo hii unaweza ukawa na rafiki Muislamu na wewe ni Mkristo, msaada wake ukawa mkubwa zaidi ya ndugu yako wa damu.
Leo baraza la mawaziri limetangazwa lakini watu badala ya kujadili mtu aliyeteuliwa kama anafaa au la watu wanajadili dini na makabila ya wateuliwa. Hii ni picha mbaya sana hasa kwa watu wanaofikiri kwa akili timamu.
Alipokuwa madarakani Mzee Ally Hassan Mwinyi baadhi ya watu wasio makini walimtuhumu kuwa ni mdini tena anakumbatia waislamu watupu. Mbaya zaidi alijisahau akaruhusu Zanzibar/ Tanzania visiwani ikajiunga Oic. Lakini ukweli ni kuwa mzee mwinyi hakuwa mdini au mkabila. Waziri mkuu wake alikuwa mkristo tena Mgogo. Na hata Cabinet yake ilikuwa na wakristo wengi kuliko waislamu.
Historia ipo wazi,hata Mwl JKN watu walimtuhumu kuwa mkatoliki na hashauliki na hii ni sababu watu wanatoa maoni kwa hisia bila kujali ukweli na uhalisia.
Leo hii Cabinet imetangazwa,lakini badala ya watu kujadili uwezo wa mtu aliyeteuliwa kama anaweza kutumikia watanzania watu wanaanza kujadili kabila na dini za wateuliwa. Huku ni kukosa busara na kupungukiwa akili za kufikiri.
Wapi katiba ya JMT imetamka juu ya kuwa na uwiano sawa wa kidini au kikabila? Hili taifa halina dini wala kabila. Tunapojadili masuala ya msingi ya taifa letu tutumie busara na hekima.
Tumia common sense.Itapendeza kama viongozi weti nao watakua makini kufanya maamuzi yenye kuweka usawa kwa wananhi paipo kubagua itikadi zao za siasa, ukanda, ukabila na hata udini
Hii ndio kitu pekee itakayowapa wananchi motisha ya kuwa wazalendo kwenye kuitetea nchi yao
Mbali na hapo, umoja wa kitaifa hakuna na nchi itabaki na vidonda, makovu ya uonevu na ubaguzi pamoja na chuki ambayo itazaa tunda baya sana kwa vizazi vyetu
Upeo wako nina mashaka naoTumia common sense.
Tumia akili ya kuzaliwa.Upeo wako nina mashaka nao
Wewe unaeyumia common sense mpaka sasa umeshindwa hata kuona namna ambavyo taifa limegawanyika na nguvu kubwa inahitajika kurudisha umoja wa kitaifa right before anythingTumia akili ya kuzaliwa.
Sasa kama taifa halina dini inakuwaje dini iwe kigezo cha kuchagua baraza la mawaziri? Ni vigumu kumshawishi mtu mwenye akili timamu kwamba idadi ndogo ya mawaziri wa kiislam ilitokea kwa bahati mbaya. Namba huwa haziongopi.Kama kuna taifa ambalo Mungu amelibaliki ni taifa la Tanzania. Maana udini na ukabila ni vitu ambavyo havina nafasi kabisa.
Naongea maisha ambayo ni uhalisia wa maisha yetu sisi watanzania. Ukisoma na mtu awe na dini au kabila tofauti huyo anakuwa ndugu yako. Mimi najua kila mtanzania analifahamu hili ndio maana leo hii unaweza ukawa na rafiki Muislamu na wewe ni Mkristo, msaada wake ukawa mkubwa zaidi ya ndugu yako wa damu.
Leo baraza la mawaziri limetangazwa lakini watu badala ya kujadili mtu aliyeteuliwa kama anafaa au la watu wanajadili dini na makabila ya wateuliwa. Hii ni picha mbaya sana hasa kwa watu wanaofikiri kwa akili timamu.
Alipokuwa madarakani Mzee Ally Hassan Mwinyi baadhi ya watu wasio makini walimtuhumu kuwa ni mdini tena anakumbatia waislamu watupu. Mbaya zaidi alijisahau akaruhusu Zanzibar/ Tanzania visiwani ikajiunga Oic. Lakini ukweli ni kuwa mzee mwinyi hakuwa mdini au mkabila. Waziri mkuu wake alikuwa mkristo tena Mgogo. Na hata Cabinet yake ilikuwa na wakristo wengi kuliko waislamu.
Historia ipo wazi,hata Mwl JKN watu walimtuhumu kuwa mkatoliki na hashauliki na hii ni sababu watu wanatoa maoni kwa hisia bila kujali ukweli na uhalisia.
Leo hii Cabinet imetangazwa,lakini badala ya watu kujadili uwezo wa mtu aliyeteuliwa kama anaweza kutumikia watanzania watu wanaanza kujadili kabila na dini za wateuliwa. Huku ni kukosa busara na kupungukiwa akili za kufikiri.
Wapi katiba ya JMT imetamka juu ya kuwa na uwiano sawa wa kidini au kikabila? Hili taifa halina dini wala kabila. Tunapojadili masuala ya msingi ya taifa letu tutumie busara na hekima.
Wapi imeandikwa dini ni kigezo?Sasa kama taifa halina dini inakuwaje dini iwe kigezo cha kuchagua baraza la mawaziri? Ni vigumu kumshawishi mtu mwenye akili timamu kwamba idadi ndogo ya mawaziri wa kiislam ilitokea kwa bahati mbaya. Namba huwa haziongopi.
Yumia? Tuliza akili upost mambo ya msingi.Wewe unaeyumia common sense mpaka sasa umeshindwa hata kuona namna ambavyo taifa limegawanyika na nguvu kubwa inahitajika kurudisha umoja wa kitaifa right before anything
Kama kuna taifa ambalo Mungu amelibaliki ni taifa la Tanzania. Maana udini na ukabila ni vitu ambavyo havina nafasi kabisa.
Naongea maisha ambayo ni uhalisia wa maisha yetu sisi watanzania. Ukisoma na mtu awe na dini au kabila tofauti huyo anakuwa ndugu yako. Mimi najua kila mtanzania analifahamu hili ndio maana leo hii unaweza ukawa na rafiki Muislamu na wewe ni Mkristo, msaada wake ukawa mkubwa zaidi ya ndugu yako wa damu.
Leo baraza la mawaziri limetangazwa lakini watu badala ya kujadili mtu aliyeteuliwa kama anafaa au la watu wanajadili dini na makabila ya wateuliwa. Hii ni picha mbaya sana hasa kwa watu wanaofikiri kwa akili timamu.
Alipokuwa madarakani Mzee Ally Hassan Mwinyi baadhi ya watu wasio makini walimtuhumu kuwa ni mdini tena anakumbatia waislamu watupu. Mbaya zaidi alijisahau akaruhusu Zanzibar/ Tanzania visiwani ikajiunga Oic. Lakini ukweli ni kuwa mzee mwinyi hakuwa mdini au mkabila. Waziri mkuu wake alikuwa mkristo tena Mgogo. Na hata Cabinet yake ilikuwa na wakristo wengi kuliko waislamu.
Historia ipo wazi,hata Mwl JKN watu walimtuhumu kuwa mkatoliki na hashauliki na hii ni sababu watu wanatoa maoni kwa hisia bila kujali ukweli na uhalisia.
Leo hii Cabinet imetangazwa,lakini badala ya watu kujadili uwezo wa mtu aliyeteuliwa kama anaweza kutumikia watanzania watu wanaanza kujadili kabila na dini za wateuliwa. Huku ni kukosa busara na kupungukiwa akili za kufikiri.
Wapi katiba ya JMT imetamka juu ya kuwa na uwiano sawa wa kidini au kikabila? Hili taifa halina dini wala kabila. Tunapojadili masuala ya msingi ya taifa letu tutumie busara na hekima.
In Summary iko hivi:Kama kuna taifa ambalo Mungu amelibaliki ni taifa la Tanzania. Maana udini na ukabila ni vitu ambavyo havina nafasi kabisa.
Naongea maisha ambayo ni uhalisia wa maisha yetu sisi watanzania. Ukisoma na mtu awe na dini au kabila tofauti huyo anakuwa ndugu yako. Mimi najua kila mtanzania analifahamu hili ndio maana leo hii unaweza ukawa na rafiki Muislamu na wewe ni Mkristo, msaada wake ukawa mkubwa zaidi ya ndugu yako wa damu.
Leo baraza la mawaziri limetangazwa lakini watu badala ya kujadili mtu aliyeteuliwa kama anafaa au la watu wanajadili dini na makabila ya wateuliwa. Hii ni picha mbaya sana hasa kwa watu wanaofikiri kwa akili timamu.
Alipokuwa madarakani Mzee Ally Hassan Mwinyi baadhi ya watu wasio makini walimtuhumu kuwa ni mdini tena anakumbatia waislamu watupu. Mbaya zaidi alijisahau akaruhusu Zanzibar/ Tanzania visiwani ikajiunga Oic. Lakini ukweli ni kuwa mzee mwinyi hakuwa mdini au mkabila. Waziri mkuu wake alikuwa mkristo tena Mgogo. Na hata Cabinet yake ilikuwa na wakristo wengi kuliko waislamu.
Historia ipo wazi,hata Mwl JKN watu walimtuhumu kuwa mkatoliki na hashauliki na hii ni sababu watu wanatoa maoni kwa hisia bila kujali ukweli na uhalisia.
Leo hii Cabinet imetangazwa,lakini badala ya watu kujadili uwezo wa mtu aliyeteuliwa kama anaweza kutumikia watanzania watu wanaanza kujadili kabila na dini za wateuliwa. Huku ni kukosa busara na kupungukiwa akili za kufikiri.
Wapi katiba ya JMT imetamka juu ya kuwa na uwiano sawa wa kidini au kikabila? Hili taifa halina dini wala kabila. Tunapojadili masuala ya msingi ya taifa letu tutumie busara na hekima.
Basi 2025 tuleteeeeeni Gwajima awe rais mkuuWapi imeandikwa dini ni kigezo?
Kama kuna taifa ambalo Mungu amelibaliki ni taifa la Tanzania. Maana udini na ukabila ni vitu ambavyo havina nafasi kabisa.
Naongea maisha ambayo ni uhalisia wa maisha yetu sisi watanzania. Ukisoma na mtu awe na dini au kabila tofauti huyo anakuwa ndugu yako. Mimi najua kila mtanzania analifahamu hili ndio maana leo hii unaweza ukawa na rafiki Muislamu na wewe ni Mkristo, msaada wake ukawa mkubwa zaidi ya ndugu yako wa damu.
Leo baraza la mawaziri limetangazwa lakini watu badala ya kujadili mtu aliyeteuliwa kama anafaa au la watu wanajadili dini na makabila ya wateuliwa. Hii ni picha mbaya sana hasa kwa watu wanaofikiri kwa akili timamu.
Alipokuwa madarakani Mzee Ally Hassan Mwinyi baadhi ya watu wasio makini walimtuhumu kuwa ni mdini tena anakumbatia waislamu watupu. Mbaya zaidi alijisahau akaruhusu Zanzibar/ Tanzania visiwani ikajiunga Oic. Lakini ukweli ni kuwa mzee mwinyi hakuwa mdini au mkabila. Waziri mkuu wake alikuwa mkristo tena Mgogo. Na hata Cabinet yake ilikuwa na wakristo wengi kuliko waislamu.
Historia ipo wazi,hata Mwl JKN watu walimtuhumu kuwa mkatoliki na hashauliki na hii ni sababu watu wanatoa maoni kwa hisia bila kujali ukweli na uhalisia.
Leo hii Cabinet imetangazwa,lakini badala ya watu kujadili uwezo wa mtu aliyeteuliwa kama anaweza kutumikia watanzania watu wanaanza kujadili kabila na dini za wateuliwa. Huku ni kukosa busara na kupungukiwa akili za kufikiri.
Wapi katiba ya JMT imetamka juu ya kuwa na uwiano sawa wa kidini au kikabila? Hili taifa halina dini wala kabila. Tunapojadili masuala ya msingi ya taifa letu tutumie busara na hekima.
Unatetea hiki kilichofanyika afisa kipeuo ? Bila hata aibu ? Lumumba ni ma empty head kwelikweli .Kama kuna taifa ambalo Mungu amelibaliki ni taifa la Tanzania. Maana udini na ukabila ni vitu ambavyo havina nafasi kabisa.
Naongea maisha ambayo ni uhalisia wa maisha yetu sisi watanzania. Ukisoma na mtu awe na dini au kabila tofauti huyo anakuwa ndugu yako. Mimi najua kila mtanzania analifahamu hili ndio maana leo hii unaweza ukawa na rafiki Muislamu na wewe ni Mkristo, msaada wake ukawa mkubwa zaidi ya ndugu yako wa damu.
Leo baraza la mawaziri limetangazwa lakini watu badala ya kujadili mtu aliyeteuliwa kama anafaa au la watu wanajadili dini na makabila ya wateuliwa. Hii ni picha mbaya sana hasa kwa watu wanaofikiri kwa akili timamu.
Alipokuwa madarakani Mzee Ally Hassan Mwinyi baadhi ya watu wasio makini walimtuhumu kuwa ni mdini tena anakumbatia waislamu watupu. Mbaya zaidi alijisahau akaruhusu Zanzibar/ Tanzania visiwani ikajiunga Oic. Lakini ukweli ni kuwa mzee mwinyi hakuwa mdini au mkabila. Waziri mkuu wake alikuwa mkristo tena Mgogo. Na hata Cabinet yake ilikuwa na wakristo wengi kuliko waislamu.
Historia ipo wazi,hata Mwl JKN watu walimtuhumu kuwa mkatoliki na hashauliki na hii ni sababu watu wanatoa maoni kwa hisia bila kujali ukweli na uhalisia.
Leo hii Cabinet imetangazwa,lakini badala ya watu kujadili uwezo wa mtu aliyeteuliwa kama anaweza kutumikia watanzania watu wanaanza kujadili kabila na dini za wateuliwa. Huku ni kukosa busara na kupungukiwa akili za kufikiri.
Wapi katiba ya JMT imetamka juu ya kuwa na uwiano sawa wa kidini au kikabila? Hili taifa halina dini wala kabila. Tunapojadili masuala ya msingi ya taifa letu tutumie busara na hekima.
Nina uhakika wewe sio mtanzania. Kwa sababu uzushi unao utoa hapa ni kitu ambacho hakuna anayekuelewa.Itapendeza kama viongozi weti nao watakua makini kufanya maamuzi yenye kuweka usawa kwa wananhi paipo kubagua itikadi zao za siasa, ukanda, ukabila na hata udini
Hii ndio kitu pekee itakayowapa wananchi motisha ya kuwa wazalendo kwenye kuitetea nchi yao
Mbali na hapo, umoja wa kitaifa hakuna na nchi itabaki na vidonda, makovu ya uonevu na ubaguzi pamoja na chuki ambayo itazaa tunda baya sana kwa vizazi vyetu
Ubaguzi wa waziwaz kabsaa ni wa itikadi ya uvyama. Huu ni sumu inayosambaa kwa Kasi na huko tuendako Ubaguzi tajwa udini na ukabila vitakua chamtoto. Munapongelea ubaguzi kuweni makini na ubaguzi wa vyama.Kama kuna taifa ambalo Mungu amelibaliki ni taifa la Tanzania. Maana udini na ukabila ni vitu ambavyo havina nafasi kabisa.
Naongea maisha ambayo ni uhalisia wa maisha yetu sisi watanzania. Ukisoma na mtu awe na dini au kabila tofauti huyo anakuwa ndugu yako. Mimi najua kila mtanzania analifahamu hili ndio maana leo hii unaweza ukawa na rafiki Muislamu na wewe ni Mkristo, msaada wake ukawa mkubwa zaidi ya ndugu yako wa damu.
Leo baraza la mawaziri limetangazwa lakini watu badala ya kujadili mtu aliyeteuliwa kama anafaa au la watu wanajadili dini na makabila ya wateuliwa. Hii ni picha mbaya sana hasa kwa watu wanaofikiri kwa akili timamu.
Alipokuwa madarakani Mzee Ally Hassan Mwinyi baadhi ya watu wasio makini walimtuhumu kuwa ni mdini tena anakumbatia waislamu watupu. Mbaya zaidi alijisahau akaruhusu Zanzibar/ Tanzania visiwani ikajiunga Oic. Lakini ukweli ni kuwa mzee mwinyi hakuwa mdini au mkabila. Waziri mkuu wake alikuwa mkristo tena Mgogo. Na hata Cabinet yake ilikuwa na wakristo wengi kuliko waislamu.
Historia ipo wazi,hata Mwl JKN watu walimtuhumu kuwa mkatoliki na hashauliki na hii ni sababu watu wanatoa maoni kwa hisia bila kujali ukweli na uhalisia.
Leo hii Cabinet imetangazwa,lakini badala ya watu kujadili uwezo wa mtu aliyeteuliwa kama anaweza kutumikia watanzania watu wanaanza kujadili kabila na dini za wateuliwa. Huku ni kukosa busara na kupungukiwa akili za kufikiri.
Wapi katiba ya JMT imetamka juu ya kuwa na uwiano sawa wa kidini au kikabila? Hili taifa halina dini wala kabila. Tunapojadili masuala ya msingi ya taifa letu tutumie busara na hekima.
Namba zinaonyesha hivyo kwenye hili baraza la mawaziri. Hii haikutokea kwa bahati mbaya.Wapi imeandikwa dini ni kigezo?