hayaland
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 712
- 399
Kenya walikuwa wakalimu sana walipowakaribisha wasomali kwa sababu ya vita vinavyoendelea kwao Somalia.Ukienda katima maeneo ya ESLEIGH huko Nairobi wasomali wametawala maeneo yote nyumba za biashara,nyumba za kuishi maduka yote yanamilikiwa zaidi na wasomali.
Al-shabab wameanza vitendo vyao vya kigaidi wakishirikiana na wasomali wenyeji kutegesha mabomu maeneo ya hadhara na sitaki kusema ni wakenya wangapi wamekufa na kujeruhiwa.
Kwa mtazamo wangu rais wa Kenya ana hamu ya kuwafukuza wasomali wote nchini Kenya lakini amejifunika kunapambazuka.
Waliwaruhusu wao kuwapa uraia hovyo lakini ona kinachowatokea wakenya.Waliwaruhusu kununua ardhi,mashamba,kufungua biashara na mambo kedekede.
Taadhari kwa serikali ya Tanzania tuwe makini na wasomali hawa,mwenzako akinyolewa we tia maji.Nilisikia waziri wa mambo ya ndani akisema wizara yake imetoa uraia kwa wasomali 500 waliokimbia kwao kwa sababu ya vita na kufikia Tanga,wanakujaga kwa mtindo huho huo kama Kenya,lakini tujifunze kenya.
Al-shabab wanadai Kenya imepeleka majeshi kwao Somalia ndio maana wanafanya ugaidi.Je na wasomali wenyeji kwa nini wanashirikana na hao magaidi?
Wasomali sio wazuri hata kidogo. Nchi itachafuka sasa hivi kwa mwamvuli wa kukimbia vita.
Al-shabab wameanza vitendo vyao vya kigaidi wakishirikiana na wasomali wenyeji kutegesha mabomu maeneo ya hadhara na sitaki kusema ni wakenya wangapi wamekufa na kujeruhiwa.
Kwa mtazamo wangu rais wa Kenya ana hamu ya kuwafukuza wasomali wote nchini Kenya lakini amejifunika kunapambazuka.
Waliwaruhusu wao kuwapa uraia hovyo lakini ona kinachowatokea wakenya.Waliwaruhusu kununua ardhi,mashamba,kufungua biashara na mambo kedekede.
Taadhari kwa serikali ya Tanzania tuwe makini na wasomali hawa,mwenzako akinyolewa we tia maji.Nilisikia waziri wa mambo ya ndani akisema wizara yake imetoa uraia kwa wasomali 500 waliokimbia kwao kwa sababu ya vita na kufikia Tanga,wanakujaga kwa mtindo huho huo kama Kenya,lakini tujifunze kenya.
Al-shabab wanadai Kenya imepeleka majeshi kwao Somalia ndio maana wanafanya ugaidi.Je na wasomali wenyeji kwa nini wanashirikana na hao magaidi?
Wasomali sio wazuri hata kidogo. Nchi itachafuka sasa hivi kwa mwamvuli wa kukimbia vita.