Dalton elijah
JF-Expert Member
- Jul 19, 2022
- 216
- 478
Tuwe makini na watu wanaoandaa taarifa za video kama ya huyu anaye 'trend' kwa video ya madai kuwa eti anafanya mapenzi na nyoka Ili kupata hela pamoja na video zingine zenye mlengo aina hii.
Napenda KUIKUMBUSHA jamii kuwa:
Ni kosa la jinai chini ya Kanuni ya Adhabu , Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania kuharamisha ngono kinyume na asili au maumbile.
Kifungu cha Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania S.154 (1) (b) 'Any person who has carnal knowledge of an animal commits an offense, and is liable to imprisonment for life and in any case to imprisonment for a term of not less than thirty years'
Habari tata kama kinyume na sheria zina madhara kwenye jamii ya makundi yote na hasa watoto hivyo, naikumbusha jamii kuwa makini na kuzalisha habari kwa mujibu wa sheria, taratibu. Mhusika wa madai haya vema ujitokeze uombe radhi au ushtakiwe kwa mujibu wa sheria.
Kutunza maadili ya jamii ni jukumu letu wote wanajamii. Kila mwanajamii ahusike na kuzijua sheria na kuzitekeleza.
Napenda KUIKUMBUSHA jamii kuwa:
Ni kosa la jinai chini ya Kanuni ya Adhabu , Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania kuharamisha ngono kinyume na asili au maumbile.
Kifungu cha Kanuni ya Adhabu, Sura ya 16 ya Sheria za Tanzania S.154 (1) (b) 'Any person who has carnal knowledge of an animal commits an offense, and is liable to imprisonment for life and in any case to imprisonment for a term of not less than thirty years'
Habari tata kama kinyume na sheria zina madhara kwenye jamii ya makundi yote na hasa watoto hivyo, naikumbusha jamii kuwa makini na kuzalisha habari kwa mujibu wa sheria, taratibu. Mhusika wa madai haya vema ujitokeze uombe radhi au ushtakiwe kwa mujibu wa sheria.
Kutunza maadili ya jamii ni jukumu letu wote wanajamii. Kila mwanajamii ahusike na kuzijua sheria na kuzitekeleza.