ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,692
Watu wanadhani baraza la Mawaziri atakalo liunda Magufuli litakuwa la ajabu sana kana kwamba litawahusisha malaika toka mbinguni. CCM ni ile ile na watu wake ni wale wale wala usitegemee kitu kipya sana sana sura za akina January Makamba, Nchemba, Migiro, Nyarandu n.k ndio tutegemee kuziona.
Wala usitegemee watu kama nchemba , januari kukosekana mbona patachimbika . wewe unafikiri baada ya kizazi cha akina kikwete ndani ya ccm kizazi kinachofuatia ni cha akina nani ndani ya CCM.
Acheni mawazo ya kudhani kwamba baraza la Mawaziri la Magufuri litajaa Malaika. Nyani ni wale wale na msitu ni ule ule.
Wala usitegemee watu kama nchemba , januari kukosekana mbona patachimbika . wewe unafikiri baada ya kizazi cha akina kikwete ndani ya ccm kizazi kinachofuatia ni cha akina nani ndani ya CCM.
Acheni mawazo ya kudhani kwamba baraza la Mawaziri la Magufuri litajaa Malaika. Nyani ni wale wale na msitu ni ule ule.