2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,358
- 6,060
Hii ilikua brainy speech.. bravoNaona modes mliamua kuficha hii thread yangu,kazi ipo
Hii ilikua brainy speech.. bravoNaona modes mliamua kuficha hii thread yangu,kazi ipo
Utafiti wangu unanionyesha kua:-Naona modes mliamua kuficha hii thread yangu,kazi ipo
Kila mtu ana maamuzi yake,mi nimeamua hivyo,na nitabaki kuamini hivyohapo ndio unapokosea kila mwanadamu nisawa bila kujali chama kabila jinsia rangi wala hali yake haya mawazo ya vyam yasitufikishe huko watz na wala silazima kuipenda chadema wala ccm wa act nimamuzi ya mtu binafsi
Andika ya kwako,kuwaambia watanzania wawapuuze hawa wachumia tumbo, kwanza zipo kibao humu,zinaandikwa na kina lizabon na Lumumba wenzako,mimi nimeamua kuandika hiviMwandishi mleta uzi,mbona maelezo "contradictions" sana, msimamo wako ni upi? Mfano wa Nyerere unalinganishaje na genge la wachumia tumbo?
Nilitegemea utashawishi umma kuwapuuza hao uliowataja kwa kuwa wao hawatapoteza chochote hata wewe ukiuwawa kwasababu ya vurugu walizochochea wao, itakula kwako,sababu wao wapo ki maslahi zaidi. Labda kwa mbaaali,ingeleta maana
MhhNaona modes mliamua kuficha hii thread yangu,kazi ipo
Ni jamvi la kubadilishana mawazo,pia kuelimishana. Ni starehe sana kubadilishana mawazo bila kugombana. Ni kama mchezo wa drafti, ukipigwa hadi kingi, utapataje uwezo wa kumlaum mwenzio kukupiga bao? Humu uki-like/unlike point ya mtu, Mpe dole gumba kubwa, ama uchune.Andika ya kwako,kuwaambia watanzania wawapuuze hawa wachumia tumbo, kwanza zipo kibao humu,zinaandikwa na kina lizabon na Lumumba wenzako,mimi nimeamua kuandika hivi