Alianza Babu Loliondo, akafuatia kijana kule Tarakea, kisha mwingine tena Mbeya na sasa kuna mama huko Tabora. Wote hawa wanadai wameoteshwa kutibu magonjwa sugu na zaidi gharama zao (500) na njia yao ya kutibu (kikombe) zinafanana. Sehemu zote hizo watu wanajaa na wanadiriki kutoa ushuhuda kuwa wamepona.
SWALI: Walikuwa wanaumwa nini?
JIBU: .........................................
Mimi nahisi Watanzania tunaumwa akili. Ikitokea mtu yoyote alie eneo la karibu na wewe akasema ameoteshwa kama hao niliowataja hapo juu utakwenda kupata tiba? Unaumwa nini?
Ni hayo tu...
SWALI: Walikuwa wanaumwa nini?
JIBU: .........................................
Mimi nahisi Watanzania tunaumwa akili. Ikitokea mtu yoyote alie eneo la karibu na wewe akasema ameoteshwa kama hao niliowataja hapo juu utakwenda kupata tiba? Unaumwa nini?
Ni hayo tu...