Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
rudini home, mnafanya nini kwenye kinchi masikini huko,
Jamaa kasema wanafanya biashara. Na biashara haina mipaka. Mbona kuna Wamalawi chungu nzima Bongo na sijawahi kusikia wananyanyaswa? Kuanzia enzi za uhuru Bongo tumekuwa na Wamalawi na wengine wengi tu wameshika nafasi za juu katika serikali zetu. Uwongo?rudini home, mnafanya nini kwenye kinchi masikini huko,
Jana usiku wamekuja kutugongea majumbani wamekamata watanzania nane, Hata uwe na paspot wanakuchukua hadi saiz tupo mafichoni!
duh box la malawi litakua kavu kwel kwelRudini nyumbani, malawi kuna nini huko? Au ndiyo mnabeba box?
acha kulialia wewe komaa,kama yamekushinda nauli toka malawi hadi tz 30000 haifiki,rudi kwenu.Wote waliokamatwa paspot zao ziko vizuri ila wao hawaangalii paspot wakikukuta popote wanakuchukua mbaya zaidi wanawatumia askari wao wanawapiga watu kama majambazi je? Ni haki?
sidhani kama biashara mnayofanya malawi haifanyiki TZ labda ni magendo ndo maana mnakamatwa. Halafu mkae mkijua nchi za watu siyo kama Tanzania wenzenu wana hasira kwa nini mpate mkiwa kwao?
Ukishawaona utawafanya nini, Kwani wewe ni authority?Poleni sana ngoja si Jumatatu halafu mwisho wa mwezi naenda Masaki wapo watu wa Malawi kibao!
Magezi ushawahi kuishi/kufika nchi nyingine yeyote zaidi ya Tz? kwanini unawahukumu wenzako?sidhani kama biashara mnayofanya malawi haifanyiki TZ labda ni magendo ndo maana mnakamatwa. Halafu mkae mkijua nchi za watu siyo kama Tanzania wenzenu wana hasira kwa nini mpate mkiwa kwao?