Hayo mawazo Kama vile Ni rahisi Sana kwenye utekelezaji ,kuna sehemu maji ya kunywa Ni mpaka mvua inyeshe ,ukifika huko utakuja ufute thread yako,,kilimo ,kilimo Ni sawa,kilimo nacho kinahitaji nyenzo ,mtaji n.k,Kama upo mbeya tukuyu Na maeneo mengine yenye hali ya hewa nzuri kwa kilimo usifikirie kwa sehemu uliopo tu,waulize Wenzako wa simiyu ,kagera Na kigoma Na singida hata Dodoma Na Lindi ,wanawezaje kuyafanya yote hayo?
Kuna Mazao yanayostahimili ukame Na pengine hata kilimo cha umwagiliaji,hivyo visima nan kavichimba?sio kila mtanzania anaishi kando kando Na mto.
in reality kinaweza kutukomboa,but as for now it's too late bado mifugo haijafa kwa njaa,kumbuka mifugo inakula kuliko binadamu Na inategemea malisho Na mfuko wa mwanadamu,au umwagiliaji hadi wa Nyasi ufanyike??
Green house sio rahisi Kama ufikiriavyo,Ni expensive.anyway mawazo yako Ni mazuri but jaribu Fanya analysis ya environment ,capital Na and other prerequisites .