IKEKERA
JF-Expert Member
- Sep 3, 2019
- 1,251
- 1,614
Hala
Hapo ww unatumika kubeba miajenda ya wenzie Kwa mgongo wa kudai haki...hivi ni haki gani mnayodai mmenyimwa?ya ushoga na usagaji?
Halafu duniani hamna HAKI tunajidanganya TU...haki ipo siku ya hukumu Kwa mola wetu..HAKI sio movement ya wakatoliki pekee, mimi sio mkatoliki lakini na support movement kwa sababu ni ya haki, utauliza kwanini na support ? tukiendelea na huu mfumo usiofuata sheria wala katiba hatuwezi kuendelea kama taifa, zile sheria zimewekwa kwa ajili tustaarabike ndiposa tuendelee tofauti na hapo hatuna tofauti na wanyama kuuana, kubakana, kutesana, kulana nyama kama ilivyotokea 29 october inaweza kutokea na zaidi nakadhalika na kadhalika.
Hapo ww unatumika kubeba miajenda ya wenzie Kwa mgongo wa kudai haki...hivi ni haki gani mnayodai mmenyimwa?ya ushoga na usagaji?