Watanzania tulioko Switzerland

Watanzania tulioko Switzerland

UrbanGentleman

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2016
Posts
2,584
Reaction score
1,886
Habari wadau, wazima?

Kwa ambao mpo tujuane tutengeneze community tusaidie njia ambao hawana michongo. Tupeane ushauri nini cha kufanya.

Najua wapo walio hapa muda mrefu na wanaotarajia kufika hapa in the future. Just in case ni vizuri ukijua mambo muhimu kabla ya kufika hapa.

Switzerland has got four official languages Germany, French, Italian, Romanch hizi lugha zinazungumzwa based on Canton(mkoa) au eneo husika so ukifika hapa jua Canton utakayoingia uwe mwepesi na lugha husika.

Uswisi ni Tamu sana sema ni ngumu sana. So wadau na wanazuoni mliopo nchini hapa tujuane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na sisi tulioko huku tuna comment wapi

kIongOzI Wa BaaDae
 
Hivi hua mnapata madem kweli uko? Au ndo chaputa for life? Kuna mwamba alienda oman nilikua nikiwasiliana nae analalamika kule malaya gharama kinoma inabidi apige nyeto tuu. Madem wakule wanawadharau kinoma ngozi nyeusi, alivyorudi aliapa hataenda tena.


Sent from iPhone 6s Plus
 
Back
Top Bottom