CONSISTENCY
Senior Member
- Feb 16, 2023
- 135
- 307
Kuna mambo mengi ya hovyo yanaendelea nchini,
Bandari
Utalii
Madini
Mikopo ya kijinga
Ufisadi CAG report
Mfumuko wa bei n.k
Wanasiasa tumewapa dhamana kubwa ya kutuongoza ila nasikitika kusema wengi wa wanasiasa nchini Tanzania ni walafi, vibaraka na watumwa wa wageni.
Nasikitika kusema Rais ana uwezo mdogo sana wa kuongoza hii nchi, amezungukwa na wahuni wenye lengo la kunyonya nchi kadiri iwezekanavyo.
Inawezekana Rais hapendi haya yanayoendelea ila hana namna ya kutatua sababu wenye nguvu ya kuamua urais wake ndio wanaofanya kila namna kuinyonya hii nchi.
Wito wangu kwa watanzania wote, naomba tujadili namna kuikomboa nchi bila kutegemea wanasiasa, hatma ya vizazi vyetu ipo mikononi mwetu wote.
Wanasiasa wa sasa hawaaminiki na hata bunge haliaminiki.
Bandari
Utalii
Madini
Mikopo ya kijinga
Ufisadi CAG report
Mfumuko wa bei n.k
Wanasiasa tumewapa dhamana kubwa ya kutuongoza ila nasikitika kusema wengi wa wanasiasa nchini Tanzania ni walafi, vibaraka na watumwa wa wageni.
Nasikitika kusema Rais ana uwezo mdogo sana wa kuongoza hii nchi, amezungukwa na wahuni wenye lengo la kunyonya nchi kadiri iwezekanavyo.
Inawezekana Rais hapendi haya yanayoendelea ila hana namna ya kutatua sababu wenye nguvu ya kuamua urais wake ndio wanaofanya kila namna kuinyonya hii nchi.
Wito wangu kwa watanzania wote, naomba tujadili namna kuikomboa nchi bila kutegemea wanasiasa, hatma ya vizazi vyetu ipo mikononi mwetu wote.
Wanasiasa wa sasa hawaaminiki na hata bunge haliaminiki.