Watanzania tuache uvivu na wivu

Watanzania tuache uvivu na wivu

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,753
1. Tupunguze ujuaji na wivu kwa waliofanikiwa (wakiwemo Wafanyabiashara na viongozi wetu).

2. Tufanye kazi kwa bidii. Tulipe Kodi bila shuruti. Tutafanikiwa.

#OktobaTunatiki.
NB: Viongozi wetu wakifanikiwa tunajaa jazba, why?
 
Maxence Melo kwa wanayokufanyia hawa watu bado unaruhusu username za aina hii kam zile plate namba zilizopogwa marufuku? Huyu ni mchochezi, yani hawa wamefungia mtandao halafu bado wanakuja kutukana
 
1000158584.jpg
 
1. Tupunguze ujuaji na wivu kwa waliofanikiwa (wakiwemo Wafanyabiashara na viongozi wetu).

2. Tufanye kazi kwa bidii. Tulipe Kodi bila shuruti. Tutafanikiwa.

#OktobaTunatiki.
NB: Viongozi wetu wakifanikiwa tunajaa jazba, why?
Ili ueleweke tuhakikishie kwanza kama wewe si drone ya hao unaowaita waliofanikiwa!
 
1. Tupunguze ujuaji na wivu kwa waliofanikiwa (wakiwemo Wafanyabiashara na viongozi wetu).

2. Tufanye kazi kwa bidii. Tulipe Kodi bila shuruti. Tutafanikiwa.

#OktobaTunatiki.
NB: Viongozi wetu wakifanikiwa tunajaa jazba, why?
Mapunga mnazidi kuongezeka bongo!...maku wewe
 
Aliyefanikiwa wapi na kwenye fani gani ? Kila Mtanzania anamshukuru Mkulima kwa kulima kwake na kufanikiwa kutulisha (ingawa hapati ujira wa kutosha lakini sijawahi kusikia mtu anamlaumu au kumtukana huyu)

Lakini hawa ambao tumewaajiri na wanakula kwa jasho letu (kodi) ni our civic duty kuwapigia kelele kila dakika sababu as things goes ingebidi watanzania wapige kelele kuliko wanavyopiga sasa.... Hatupati value for money....

 
1. Tupunguze ujuaji na wivu kwa waliofanikiwa (wakiwemo Wafanyabiashara na viongozi wetu).

2. Tufanye kazi kwa bidii. Tulipe Kodi bila shuruti. Tutafanikiwa.

#OktobaTunatiki.
NB: Viongozi wetu wakifanikiwa tunajaa jazba, why?
Madako yako🫩
 
1. Tupunguze ujuaji na wivu kwa waliofanikiwa (wakiwemo Wafanyabiashara na viongozi wetu).

2. Tufanye kazi kwa bidii. Tulipe Kodi bila shuruti. Tutafanikiwa.

#OktobaTunatiki.
NB: Viongozi wetu wakifanikiwa tunajaa jazba, why?
🖕🏿 Unakazwa
 
Tabia za Matajiri na viongozi wk wanayotenda gizan
Nan alipe Utitiri wa kodi ?
Lovingcrea....webp
 
1. Tupunguze ujuaji na wivu kwa waliofanikiwa (wakiwemo Wafanyabiashara na viongozi wetu).

2. Tufanye kazi kwa bidii. Tulipe Kodi bila shuruti. Tutafanikiwa.

#OktobaTunatiki.
NB: Viongozi wetu wakifanikiwa tunajaa jazba, why?
Tuwe wazalendo, tuijue katiba na kuiheshimu, tuwajibike na kulinda hali, maslahi ya kila Mtz. Tulinde nchi yetu, na kuhakikisha rasilimali zinatumika kwa manufaa ya kila mwananchi. Wanasiasa wadhibitiwe, kuanzia kipato chao bila kuwatumikia WaTz, mpaka mamlaka ya kupindukia!
Katiba mpya ni muhimu!
 
Back
Top Bottom