MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,493
- 8,724
Watanzania ni wapole jamani asikuambie mtu, Mungu katujalia hilo na tumshukuru sana kwa hili.
Tuna upole ule wa kuvuka kiwango cha upole,
Nawaza maneno ya kejele kama ya Mwiguru Nchemba iwe ni nchi nyingine huo moto acha kabisa, sisi sio mara ya kwanza kukejeliwa na Viongozi na kuishia kulalamikia kwenye vijiwe vya kahawa tu.
Angalia hata Wafanya kazi hawajongezewa Mshahara miaka mitano ila wako kimya kabisa wanalalimikia Whatsapp, facebook au kwenye vijiwe vya kahawa,
Nakuhakikishia hata wasipo pewa nyongeza kwa kipindi chote cha utumishi wao hakuna wanacho weza kufanya zaidi ya kulalamikia chini ya kapeti.
Watanzania wanaweza panda basi sit za nyuma na basi ikifika kwenye mizani wanaambiwa njooni mchuchumae huku katikati na kweli wana tii na wamelipa nauli si kwamba ni lift, au wanashushwa kabisa watembee kwa miguu kuvuka mizani,
Au kondakita anaweza ona trafiki mbele kama abiria wamejaa kusimama anawaambia watu wakae wawili wa wili kwa kila sit na abiria hakuna anaye kataa, bali atakataa akiwa ameisha shuka.
Huu upole tulio nao sio wa kawaida jamani ni zaidi ya limbwata.
Haya ya Mwiguru watu wanaandamania Facebook, whatsapp, Insita na kwenye vijiwe vya kahawa,
Tuna upole ule wa kuvuka kiwango cha upole,
Nawaza maneno ya kejele kama ya Mwiguru Nchemba iwe ni nchi nyingine huo moto acha kabisa, sisi sio mara ya kwanza kukejeliwa na Viongozi na kuishia kulalamikia kwenye vijiwe vya kahawa tu.
Angalia hata Wafanya kazi hawajongezewa Mshahara miaka mitano ila wako kimya kabisa wanalalimikia Whatsapp, facebook au kwenye vijiwe vya kahawa,
Nakuhakikishia hata wasipo pewa nyongeza kwa kipindi chote cha utumishi wao hakuna wanacho weza kufanya zaidi ya kulalamikia chini ya kapeti.
Watanzania wanaweza panda basi sit za nyuma na basi ikifika kwenye mizani wanaambiwa njooni mchuchumae huku katikati na kweli wana tii na wamelipa nauli si kwamba ni lift, au wanashushwa kabisa watembee kwa miguu kuvuka mizani,
Au kondakita anaweza ona trafiki mbele kama abiria wamejaa kusimama anawaambia watu wakae wawili wa wili kwa kila sit na abiria hakuna anaye kataa, bali atakataa akiwa ameisha shuka.
Huu upole tulio nao sio wa kawaida jamani ni zaidi ya limbwata.
Haya ya Mwiguru watu wanaandamania Facebook, whatsapp, Insita na kwenye vijiwe vya kahawa,