Hata wakoloni walikuwa wanasema hatufai kupewa uhuru maana hatuna uwezo wa kujitawala. Hivyo huu mtazamo wako hata wakoloni walikuwa nao. Kama CCM imeweza kutawala hadi leo, tena sehemu kubwa ni bila ridhaa ya wananchi, hakuna chama kitashindwa.Tatizo Si kuondoka CCM ,,shida Ni nani ataongoza?
Zimwi likujualo halikuli likakwisha.
Chadema wanaweza kabisa kutuongoza kwenye mafanikio.CHADEMA tumekuwa tukisema miaka yote kuwa CCM hawafai mlikuwa mkitupinga.
CHADEMA tumekamilika nyanda zote.Chadema wanaweza kabisa kutuongoza kwenye mafanikio.
Watawala na Marafiki zao ndio Wafanyabiasha wakubwa na Matajiri katikati ya Wananchi Masikini wa Kipato na Maendeleo.Katiba mbovu
Uchumi mbovu
Utendaji mbovu
Mikataba mibovu
Mipango miji mibovu
Mifumo ya haki mibovu
Uongozi na usimamizi mbovu
Haya yote ndio matunda ya CCM.
Watanzania huu ni wakati wa kuondokana na CCM la sivyo tutakuwa tumechelewa.
Kama chama kinashindwa kujiongoza chenyewe kitaweza ongoza inchi?Hata wakoloni walikuwa wanasema hatufai kupewa uhuru maana hatuna uwezo wa kujitawala. Hivyo huu mtazamo wako hata wakoloni walikuwa nao. Kama CCM imeweza kutawala hadi leo, tena sehemu kubwa ni bila ridhaa ya wananchi, hakuna chama kitashindwa.
Je, tuchelewe mara ngapi???Katiba mbovu
Uchumi mbovu
Utendaji mbovu
Mikataba mibovu
Mipango miji mibovu
Mifumo ya haki mibovu
Uongozi na usimamizi mbovu
Haya yote ndio matunda ya CCM.
Watanzania huu ni wakati wa kuondokana na CCM la sivyo tutakuwa tumechelewa.
ccm ilitakiwa kuondolewa miaka mingi sana kabla ya kuzoe madaraka, sasa hivi kageuka mwenye nyumba sio mpagaji tena.Katiba mbovu
Uchumi mbovu
Utendaji mbovu
Mikataba mibovu
Mipango miji mibovu
Mifumo ya haki mibovu
Uongozi na usimamizi mbovu
Haya yote ndio matunda ya CCM.
Watanzania huu ni wakati wa kuondokana na CCM la sivyo tutakuwa tumechelewa.
Harafu twende chama gani Sasa?Katiba mbovu
Uchumi mbovu
Utendaji mbovu
Mikataba mibovu
Mipango miji mibovu
Mifumo ya haki mibovu
Uongozi na usimamizi mbovu
Haya yote ndio matunda ya CCM.
Watanzania huu ni wakati wa kuondokana na CCM la sivyo tutakuwa tumechelewa.
Hatari snccm ilitakiwa kuondolewa miaka mingi sana kabla ya kuzoe madaraka, sasa hivi kageuka mwenye nyumba sio mpagaji tena.
Hatari snWatawala na Marafiki zao ndio Wafanyabiasha wakubwa na Matajiri katikati ya Wananchi Masikini wa Kipato na Maendeleo.
Sio Tanzania boss, hii nchi ya makondoo unaburuza tu. Kama kiongozi anaweza kwenda mahali hakuna maji wala umeme, watu wanashare maji machafu kwenye lambo na mifugo, huku akiwa na VXR na maji fresh kwenye chupa ikiwa kwenye dashboard, na bado watu wanamshangilia akiongea pumba, nani atashindwa kuongoza nchi ya maboya wa hivyo?Kama chama kinashindwa kujiongoza chenyewe kitaweza ongoza inchi?
Yapo mambo ya kufanya majaribio Ila sio uongozi wa inchi..
Mbona huko USA ndo hakuna Demokrasia kabisa nafuu kwetu .Sio Tanzania boss, hii nchi ya makondoo unaburuza tu. Kama kiongozi anaweza kwenda mahali hakuna maji wala umeme, watu wanashare maji machafu kwenye lambo na mifugo, huku akiwa na VXR na maji fresh kwenye chupa ikiwa kwenye dashboard, na bado watu wanamshangilia akiongea pumba, nani atashindwa kuongoza nchi ya maboya wa hivyo?
Unaweza kuogopa kufanya majaribio kwa nchi kama US yenye kila kitu, sio kwenye nchi hii ambayo bado watu wako kwenye elimu ya kunawa mikono wakitoka chooni.
Hii nchi ilikofikia nilazima tumuweke Tundu Lissu nilazima pesa zetu zirudishwe zimepigwa tangu uhuru.Harafu twende chama gani Sasa?