Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,876
- 13,266
Mbona ile ya 1.5 tr hukuandika chochote? Au kwa sababu alikuwa Sukuma gang mwenzio?Tunapaswa kuvifokea vyote kwa pamoja.
Mbona ile ya 1.5 tr hukuandika chochote? Au kwa sababu alikuwa Sukuma gang mwenzio?Tunapaswa kuvifokea vyote kwa pamoja.
Je wajua kuwa ile 1.5 tr mpaka leo haijulikani ilipoTatizo ni shule ya mawazo. Dhana ni kwamba Waafrika ni wajinga na kwa hivyo, wanapaswa kuzungumziwa kwa kupuuza kabisa utu wao. Hii peke yake haina tija na matokeo hayazai matunda... Sijawahi kukaa na kumsikiliza yeyote anaye kosa adabu na ni mnyanyasaji.
Hakuna mtu humu anayeweza kuwa anawaita watoto zake au ndugu zake wajinga kila siku halafu akategemea kupata mazuri.
Wacheni ugaidi
Umesahau cdm na kizitto unakuta vimbele mbele wa kuchambua report ya CAG kwa mbwembweHapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.
Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.
Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.
Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.
Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.
Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.
Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.
Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Hukumsikia mwalimu nyerere?Urefu na ufupi navyo ni vipaji?
Tuna akili basi za kujenga hizo hoja.
Mfano mzuri mimi hapa
Kadri siku zinaenda naona nakua sina akili..
Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.
Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.
Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.
Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.
Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.
Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.
Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.
Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Hii ni kweli.Mifumo ya nchi inaandaa watu kuwa mazezeta ili wataliwe kirahisi
Watanzania si wajinga ila slow learners katika demokrasia, kuna siku tu wataamka na kukataa mambo ya kijinga.Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.
Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.
Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.
Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.
Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.
Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.
Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.
Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Jamii haiwi na jambo moja. Kuna hadithi moja ya zamani enzi ya TANU inasema: Vipofu wawili walikuta tembo amekufa watu wanashangaa shangaa kipofu mmoja akapapasa sikio na mwingine akapapasa mgongo na ubavu. Yule wa kwanza akasema amejua kumbe tembo anafanana na ungo mkubwa yule wa pili akassema amejua sasa kuwa te.bo anafanana na ukuta. Watu wenye macho wakataka kuwafafanulia lakini wale vipofu hawakutaka kuwasikiliza hivyo wale vipofu wakaondoka kwenda kuwahadithia vkpofu wenzao jinsi tembo alivyo kila mmoja na tafsiri yake.Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.
Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.
Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.
Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.
Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.
Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.
Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.
Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Nakubaliana na wewe mkuu. Watanzania wana akiki za funza. Uchawa ndio kipaji chao. Acha wenye akili wapige na kula kwa urefu wa kamba zaoHapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.
Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.
Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.
Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.
Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.
Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.
Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.
Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Umenena !!Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.
Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.
Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.
Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.
Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.
Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.
Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.
Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.
Tena Ujinga kweli kweli !! Wengine watakuambia kwani hiyo pesa ni yako ?! Wengine watasema tafuta pesa Bro hayo mambo hayana faida na wewe !! Maajabu !!Sio kaujinga, ni UJINGA mkubwa
Hana tabia ya kufukuzana fukuzana alishasema !! Na wao wamemjibu kwa vitendo Asante sana Mama !! $49m kwaheri nk. Nk.Mama anapenda kufanya kazi na watu kama hao
Wakikuona smart kichwani na hukubaliani na mambo yao utatengenezewa skendo yeyote ikumalize !!Mifumo ya nchi inaandaa watu kuwa mazezeta ili wataliwe kirahisi
Reflection nzuri!Hapa narejea nukuu ya Mwalimu Nyerere kwamba ujinga ni kipaji kama ufupi na urefu. Ni kama aina fulani ya unyumbu wa kurithi.
Sijaona mashekhe wakiandamana kupinga ripoti ya CAG iliyosheheni ufisadi na ujambazi wa kutisha.
Sijaona makongamano ya mapadri na watawa wenye vilemba wakikemea ufisadi kwa mbwembwe na madaha kama wanavyofanya kwenye kufokea usagaji.
Sijaona mitandao ikifurika kwa mapovu na jazba dhidi ya majizi yanayokwapua pesa ya nchi na kuzitumbua watakavyo.
Humu mitandaoni pamejaa hadithi za kula matunda ya kimaskhara pamoja na mbinu za kutafuna wake za watu bila kukamatwa.
Huwezi kukutana na critical analysis ya taarifa ya CAG. Ni hadithi za papuchi tu na kutafunana.
Watu kama hawa waliojichokea kwenye ujinga na unyumbu, ni haki yao kuibiwa. Sheria ya mwituni lazima itawale ili maandiko yatimie kwamba nyumbu ni halali ya simba.
Magoigoi lazima wadhibitiwe na wenye nguvu. Ni sheria ya asili.