game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 10,391
- 23,308
We jamaa ni muoga, tena sana. Unacomment kuhusu lugha aliyotumia mleta mada ili usitoe maoni yako kuhusu maji kukosekana kwenye chuo kikuu cha UDOM. Huna hamu kabisa ya kula maharage ya bure, Mr UDOM is the biggest univ. in EA?
That doesn’t change the fact that UDOM is the Largest Univ in East Africa,
Unashangaa UDOM wakati the whole of Nairobi next to uhuruto state house kenyans lost hope of bathing clean water till 2026? Kipindupindu na Wakenya wa Nairobi haviachani kama chupi na tako
Nairobi's water crisis likely to continue till 2026
On December 26, 2016, the Nairobi City Water and Sewerage Company Ltd first announced “temporary” reduction of water supply, and the situation has only got worse since...
www.downtoearth.org.in