St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,637
- 4,521
Kuna jamaa(watanzania) wafanyabiashara ya madawa ya kulevya katika nchi moja ya ulaya,walikuwa wamepokea mzigo wa kutosha wa madawa hayo katika nyumba ya kiongozi wao.Basi wakawa wamekutana kama wanaume wanane na wanawake sita ili kila mmoja achukue mzigo wa kumtosha aende akauze katika mji anaoishi,wakati wakiendelea na moja moto moja baridi kabla ya makabidhiano,polisi wakawa na taarifa zao na wakapanga mtego ili wakawakamate.
Kwa bahati kijana mmoja akawa amewaona polisi kupitia dirishani,akawaambia wenzake tumekwisha lakini mmoja wao akasema nyie anzeni kulia kila mmoja kwa staili yake kisha mimi nitaongea na polisi.Wale polisi walipofika mahojiano yalikuwa hivi
Polisi: Mbona mnalia?
Jamaa :Tumepokea taarifa ya msiba kutoka kwetu ndio maana tumekusanyika hapa kuomboleza.
Polisi :Lakini mnajua utaratibu wetu kuwa haturuhusu mtu yeyote amsumbue jirani yake kwa kelele.
Jamaa :Sawa tutajitahidi kuomboleza kimyakimya.
Polisi oleni sana kwa msiba,sisi tunaindoka ila msiwasumbue jirani zenu.
Jamaa :Sawa afande hatutarudia tena.
Basi polisi walipoondoka kilifuatia kicheko na kutawanyika.
This is a true story.
Kwa bahati kijana mmoja akawa amewaona polisi kupitia dirishani,akawaambia wenzake tumekwisha lakini mmoja wao akasema nyie anzeni kulia kila mmoja kwa staili yake kisha mimi nitaongea na polisi.Wale polisi walipofika mahojiano yalikuwa hivi
Polisi: Mbona mnalia?
Jamaa :Tumepokea taarifa ya msiba kutoka kwetu ndio maana tumekusanyika hapa kuomboleza.
Polisi :Lakini mnajua utaratibu wetu kuwa haturuhusu mtu yeyote amsumbue jirani yake kwa kelele.
Jamaa :Sawa tutajitahidi kuomboleza kimyakimya.
Polisi oleni sana kwa msiba,sisi tunaindoka ila msiwasumbue jirani zenu.
Jamaa :Sawa afande hatutarudia tena.
Basi polisi walipoondoka kilifuatia kicheko na kutawanyika.
This is a true story.