Watanzania na biashara ya ukahaba nchini China

Watanzania na biashara ya ukahaba nchini China

Una maana baadhi ya hao akina dada wa Kurasini wapo katika ARV?

tena nina ushahidi wa KUONA , SIYO WA KUSIKIA , nina mengi ya kusema kuhusu hili , maana ni eneo ninalolifahamu vizuri sana .
 
Wakome. Wamezoea kuja huku na kujifanya wanafuatilia mizigo. Nowdays hata Mastaa wa bongo movie wanakuja sana.
 
Kuna mtu aliniambia kuwa Jacky "Super Model wa Tanzania" hii ndiyo ilikuwa kazi yake na alikuwa anamfanya vitu kujifanya yeye ni mfanyabiashara wa Nigeria demu anakubali na kuongea mambo mengi ya haibu kuhusu wanaume wa TZ mimi sikumuamini.....then nikaja sikia kwa mwingine nikaanza kushikwa na dukuduku kwani hapa Bongo Jack alikuwa anajiita super modelu kumbe ni zungu la unga na kahaba la kutupwa kule China. Hawa Nigerians kwa kweli wanawamaliza dada zetu kwa tamaa zao.
 
Huko China na kwenyewe bado yatakuja Mengi sana stay tuned wadau ...
 
attachment.php
 

Attachments

  • vlcsnap-2014-04-07-21h29m08s213.png
    vlcsnap-2014-04-07-21h29m08s213.png
    134.1 KB · Views: 533
Kuna taarifa huwa zinatoka nchini China kuwa baadhi ya dada zetu huenda huko kufanya biashara haramu ikiwa pamoja na kujiuza kwa miili yao. Katika audio clip hizi bnti wakitanzania aneishi nchini humo ameamua kufunguka na kudai kwamba alipelekwa huko na kuahidiwa kufanya kazi katika salon badala yake amesihia kufanya mtumwa wa ngono na anaomba msaada ili aweze kurudishiwa passport yake ili arudi nyumbani au aweze kuendelea na kazi za kihalali nchini humo.


Msikilize hapa chini huyo binti:
Wasichana wa kitanzania China part one by jestinageorge5 - HulkShare

Wasichana wa Kitanzania China part two by jestinageorge5 - HulkShare

Wasichana wa Kitanzania China part three by jestinageorge5 - HulkShare

Boss lady China part one by jestinageorge5 - HulkShare

Boss lady China Part two by jestinageorge5 - HulkShare
 
Nyie nao mkae tanzania mtulie, mnaaga mwaenda ughaibuni kumbe haya ndo mwafanya.
 
Wachina kwa ukahaba sidhani kama wanapitwa na waafrika au latinos.
Malaya wa china town na wa mexico kwa US ndio wa bei chee.
 
Kuna taarifa huwa zinatoka nchini China kuwa baadhi ya dada zetu huenda huko kufanya biashara haramu ikiwa pamoja na kujiuza kwa miili yao. Katika audio clip hizi bnti wakitanzania aneishi nchini humo ameamua kufunguka na kudai kwamba alipelekwa huko na kuahidiwa kufanya kazi katika salon badala yake amesihia kufanya mtumwa wa ngono na anaomba msaada ili aweze kurudishiwa passport yake ili arudi nyumbani au aweze kuendelea na kazi za kihalali nchini humo.


Msikilize hapa chini huyo binti:
Wasichana wa kitanzania China part one by jestinageorge5 - HulkShare

Wasichana wa Kitanzania China part two by jestinageorge5 - HulkShare

Wasichana wa Kitanzania China part three by jestinageorge5 - HulkShare

Boss lady China part one by jestinageorge5 - HulkShare

Boss lady China Part two by jestinageorge5 - HulkShare
Niwachache sana watakao tumia muda wao na kusikiliza audio na kuelewa tatizo sio kufanya ukahaba haswa vingevyo polisi wangekuwa wanawakamata huko huko wanapojiuza.

Tatizo ni pale ambapo wanapofanywa watumwa wa ukahaba na kuzuiwa kuondoka hata pale mtu anapokuwa ataki tena kufanya hiyo kazi, kinachokera zaidi ni pale ambapo watu wazima wanapo manipulate hawa watoto na vitisho nchi za watu na kuwafanya waishi kwa uoga uoga. You just hope adhabu stahiki itatolewa kwa hao wamama na serikali kukomesha hizi tabia.

Kuuzana tena jamani nadhani tuchore mipaka na namna za kukabili matatizo yetu, sioni tofauti na mtu anaeuwa albino hapo the rationale kwa hawa watu hakuna mipaka ya morals kwenye kutafuta hela.

Binafsi sina tatizo na maamuzi ya mtu (unless kama naliangalia kwa sababu za umaskini ulipofikia miongoni mwetu na what people will do au kwa namna za maadili ya taifa na kushuka kwa kiwango) hila iwapo kama mtu kapanda pipa kwenda kufanya hiyo kazi kwa mapenzi yake mwenyewe wewe ufanye nini tena.

Lakini kuna tatizo kubwa sana kama mtu anaenda kumchukua mtu, amlipie nauli kwa mantiki ya kumtumia kama mtumwa bila ya ridhaa yake mwenyewe au anaposema basi umtishe huko hapana na ujui usalama wake ukoje huko unapomtuma. Kuna mwenzao aliuliwa akiwa kazini na kutupwa kama mbwa, kama mimi ni mzazi bastola ningemtandika mwenyewe huyo mama iwapo serikali itamwacha.
 
Kuna taarifa huwa zinatoka nchini China kuwa baadhi ya dada zetu huenda huko kufanya biashara haramu ikiwa pamoja na kujiuza kwa miili yao. Katika audio clip hizi bnti wakitanzania aneishi nchini humo ameamua kufunguka na kudai kwamba alipelekwa huko na kuahidiwa kufanya kazi katika salon badala yake amesihia kufanya mtumwa wa ngono na anaomba msaada ili aweze kurudishiwa passport yake ili arudi nyumbani au aweze kuendelea na kazi za kihalali nchini humo.


Msikilize hapa chini huyo binti:
Wasichana wa kitanzania China part one by jestinageorge5 - HulkShare

Wasichana wa Kitanzania China part two by jestinageorge5 - HulkShare

Wasichana wa Kitanzania China part three by jestinageorge5 - HulkShare

Boss lady China part one by jestinageorge5 - HulkShare

Boss lady China Part two by jestinageorge5 - HulkShare

This is really sad ..... jamani mlioko huko China please wasilianeni na ubalozi wetu hapo Beijing ili hawa mabinti wapate msaada!
 
Mara kwanza nilitonywa kuhusiana na kushamiri kwa biashara ya ukahaba inayofanywa na Watanzania nchini China. Sikuchukulia seriously juu ya hili suala, lakini inaonekana kweli lisemwalo limo. Lakini bado najiuliza inawezekanaje Watanzania 40 kukutwa katika hoteli moja nchini China kwa wakati mmoja huku kila mmoja akiwa na mitikasi yake Halafu kati yao, 38 ni wanawake. Kwani kuna mkutano mwingine wa wanawake Beijing huko China?

Hii imetokea huko Macau nchini China ambapo polisi wamewakamata makahaba wa Kitanzania baada ya kutonywa kuwa kulikuwa na makahaba waliokuwa wakifanya biashara za kuuza miili yao kwenye hoteli moja iliyopo mji wa Central District. Baada ya kuwakamata makahaba wanne wa Kitanzania, polisi walianzisha msako hotelini hapo ambapo walikuta wanawake wengine 38 na wanaume wawili ndani ya vyumba vitano vya hoteli hiyo. Ajabu wote walikuwa ni raia wa Tanzania wenye umri kati ya miaka 19 na 38.

Hata hivyo, wengi wa Watanzania hao walikanusha kujihusisha na ukahaba. Wengi wao walidai kuwa walikuwa wanasubiri kuingia China au kurudi nyumbani Tanzania. Hata hivyo, kulikuwa na mwanamke mmoja wa Kitanzania ambaye aliiambia polisi kuwa alilazimishwa kufanya biashara ya ukahaba nchini China. Mwamanke huyo alidai kuwa alipewa ofa ya kufanya kazi kama mchuuzi jijini Guangzhou lakini baadae alilazimishwa kuwa kahaba. Kipato chake chote cha ukahaba kilikuwa kinachukuliwa na mwanamke mwingine. Amedai kuwa alienda Macau kwa ajili ya kuongeza visa yke.

Mwanamke huyo aliendelea kuimambia polisi kuwa Aprili 3 mwaka huu aliwambia wengine hakutaka kuendelea kuwa kahaba na kuwa alitaka kurudi nyumbani lakini akakamatwa chumbani kwake na kupigwa. Baadae polisi walimkamata mwanamke anayedaiwa kuchukua kipato chake chote na kumkuta akiwa na aina mbili za nyaraka zinazoonyesha dalili za kufanya biashara ya ukahaba. Nyaraka ya tatu ilikutwa mikononi mwa mwanamke mwingine.

[video=youtube_share;ANkRsmQcxBA]http://youtu.be/ANkRsmQcxBA[/video]

Wanasema hamna biashara kongwe kama ukahaba.
 
Back
Top Bottom