Ulikuwa wakati mzuri kwa kila mwenye mtazamo chanyaKipenzi hakuna mazuri yasiyo na maumivu! Kujenga nchi lazima ubane matumizi au tu nataka turudi wakati wa Kikwete?
Vile vyama Sijui CWT wanakula hela za wanachama tu, kazi gani wanayoifanya zaidi ya kufyeka pesa monthly za wanyonge.?Wafanyakazi wa serikali wasisahau kutopanda kwa mishahara kwa miaka 5 mfululizo hii ni ukiukwaji wa haki zao za msingi sasa sijui wamesahau au wamekubaliana na hali. Hakuna wa kusema sio mtu mmoja mmoja au vyama vyao vya wafanyakazi.
Sasa we ni mende au Tundu? Type mbadala Basi wa jembe Magu! Sisi kwetu Magufuli ndio habari ya mjjni! Wengine tulishawafungia vioo! Au hujasiki kibwagizo...mkimchafuA tutamsafishaaaaa!?Watanzania msiwe wepesi wa kusahau, zile shida,manyanyaso, kauli zisizo faa mlizozipitia kuanzia tangu mwaka 2016 mpaka 2019 mwishoni.
Tena wengine eti wameanza kumkubali kisa misimamo yake dhidi ya Coronaaisee hii nchi bwana haiishi vituko.
Msijisahaulishe kwamba hakukuwa na ajira miaka yote hiyo, msijisahaulishe zile nyumba zilizo vyunjwa kimabavu, msijisahaulishe kuhusu mambo ya watu wasio julikana maana yalishamiri sana japo kwa sasa yamepoa kidogo.
Msijisahaulishe kuhusu vijana wenu waliopo vyuoni kukosa mikopo licha ya kukidhi vigezo, msijisahaulishe kuhusu kuminywa kwa demokrasia hapa nchini.
Msijisahaulishe kuhusu zile kauli tata za mara kwa mara ambazo mara nyingi zilikuwa zinaleta maudhi.
Msijisahaulishe gharama za maisha kupanda maradufu na kodi zisizokuwa za msingi.
Yapo mengi sana kwa kweli.
Msiwe wasahaulifu kiasi hicho.
Tunajisikia fahari wafanyakazi kuchangia zaidi awamu hii kuleta maendelea na hata kuingia uchumi wa Kati hakika wafanyakazi tunapaswa tujipongeze! Miaka mwingine 5 tutaweza ipaisha Tz mpaka uchumi wa juu kabisa, tuendelee na jemedari wetu! Vita ni Vita tu mura!Wafanyakazi wa serikali wasisahau kutopanda kwa mishahara kwa miaka 5 mfululizo hii ni ukiukwaji wa haki zao za msingi sasa sijui wamesahau au wamekubaliana na hali. Hakuna wa kusema sio mtu mmoja mmoja au vyama vyao vya wafanyakazi.
SawaTunajisikia fahari wafanyakazi kuchangia zaidi awamu hii kuleta maendelea na hata kuingia uchumi wa Kati hakika wafanyakazi tunapaswa tujipongeze! Miaka mwingine 5 tutaweza ipaisha Tz mpaka uchumi wa juu kabisa, tuendelee na jemedari wetu! Vita ni Vita tu mura!
Wengine wanalalamika moyoni tu... hata kama walinyooka kama kiberiti... just to be declared lower middle income country is not enough, we must see it's effects in our daily life..Mliozoea kudanga lazima mlalamike
LOL...Huyu uandishi huu ukute ni wa graduate.... Ndio Maana mnalipwa laki tano kwa mwezi
Huenda haitabaki Taifa tena basi, tuibadilishe kuwa Ufalme...He is the best president ever baada ya Mwalimu Nyerere. Sio ile umeingia ofisi ya umma inakuwa kama umeingia nyumbani kwa mtu. Tanzania tunahitaji watu wa namna hii, maana kujiongoza hatuwezi. Tanzania need a ruler not a Leader. Magufuli tano tena.
NB: Mimi sio mwanachama wa chama chochote cha siasa.
Maana kuna watu hapa akili zao muda wote siasa tu, badala ya Taifa kwanza.
Haki zipi tena?Wafanyakazi wa serikali wasisahau kutopanda kwa mishahara kwa miaka 5 mfululizo hii ni ukiukwaji wa haki zao za msingi sasa sijui wamesahau au wamekubaliana na hali. Hakuna wa kusema sio mtu mmoja mmoja au vyama vyao vya wafanyakazi.
I would not be surprised if you have never been employed in your life..Tunajisikia fahari wafanyakazi kuchangia zaidi awamu hii kuleta maendelea na hata kuingia uchumi wa Kati hakika wafanyakazi tunapaswa tujipongeze! Miaka mwingine 5 tutaweza ipaisha Tz mpaka uchumi wa juu kabisa, tuendelee na jemedari wetu! Vita ni Vita tu mura!
Watanzania msiwe wepesi wa kusahau, zile shida,manyanyaso, kauli zisizo faa mlizozipitia kuanzia tangu mwaka 2016 mpaka 2019 mwishoni.
Tena wengine eti wameanza kumkubali kisa misimamo yake dhidi ya Coronaaisee hii nchi bwana haiishi vituko.
Msijisahaulishe kwamba hakukuwa na ajira miaka yote hiyo, msijisahaulishe zile nyumba zilizo vyunjwa kimabavu, msijisahaulishe kuhusu mambo ya watu wasio julikana maana yalishamiri sana japo kwa sasa yamepoa kidogo.
Msijisahaulishe kuhusu vijana wenu waliopo vyuoni kukosa mikopo licha ya kukidhi vigezo, msijisahaulishe kuhusu kuminywa kwa demokrasia hapa nchini.
Msijisahaulishe kuhusu zile kauli tata za mara kwa mara ambazo mara nyingi zilikuwa zinaleta maudhi.
Msijisahaulishe gharama za maisha kupanda maradufu na kodi zisizokuwa za msingi.
Yapo mengi sana kwa kweli.
Msiwe wasahaulifu kiasi hicho.
Subirini lipumba atamng'oa kwenye uchaguzi mkuuWatu walijitolea na mpaka misaada ilitoka nchi rafiki na walioguswa na yale madhara mwisho wa siku tukasikia "KWANI MAFURIKO YAMELETWA NA SERIKALI?"
As a normal citizen niliumia sana
Hakuna nchi isiyokuwa na maskini duniani. Infrastructure ndiyo maendeleo ya kweliWengine wanalalamika moyoni tu... hata kama walinyooka kama kiberiti... just to be declared lower middle income country is not enough, we must see it's effects in our daily life..
Ethiopia wana infrastructures za kufa mtu lkn waethiopia kila siku wanakamatwa kwny ma roli hapa Tanzania.Hakuna nchi isiyokuwa na maskini duniani. Infrastructure ndiyo maendeleo ya kweli