Wakuu.
Haraka sana hili liwe fundisho kubwa kwa hawa jamaa hii dunia ni jino kwa jino.
Wakenya wanaomiliki ardhi kwa mgongo wa Watanzania uchunguzi ufanyike haraka sana na hawa wakenya waondoshwe nchini kwetu nao watafute kwenye ardhi yao haukuna kubembelezana hapa.
Hawa ni majirani wanafiki hatustahili kuwachekea mawazo ya mbunge wao ndio mawazo yao wakenya wote lazima twende sahani kwa sahani.
Haraka sana hili liwe fundisho kubwa kwa hawa jamaa hii dunia ni jino kwa jino.
Wakenya wanaomiliki ardhi kwa mgongo wa Watanzania uchunguzi ufanyike haraka sana na hawa wakenya waondoshwe nchini kwetu nao watafute kwenye ardhi yao haukuna kubembelezana hapa.
Hawa ni majirani wanafiki hatustahili kuwachekea mawazo ya mbunge wao ndio mawazo yao wakenya wote lazima twende sahani kwa sahani.