Watanzania mnamchukia sana Samia. Sio kwa hizi comments dah...

Watanzania mnamchukia sana Samia. Sio kwa hizi comments dah...

Traxtion

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2021
Posts
5,895
Reaction score
11,788
Leo katika pitapita zangu mitandaoni nikaingia page ya Millard Ayo kuangalia post za hizi siku mbili tatu. Aisee watu mnamchukia Samia sio poa, yani watu wanakasirika kabisa kuona habari za Samia. Dah
Screenshot_2026-01-03-15-51-54-374_com.instagram.android.png
Screenshot_2026-01-03-15-51-44-731_com.instagram.android.png
Screenshot_2026-01-03-15-56-35-127_com.instagram.android.png
Screenshot_2026-01-03-15-56-57-888_com.instagram.android.png

.
.
.
Screenshot_2026-01-03-15-58-14-329_com.instagram.android.png
Screenshot_2026-01-03-16-00-21-948_com.instagram.android.png

Screenshot_2026-01-03-15-54-18-894_com.instagram.android.png
Screenshot_2026-01-03-15-54-39-129_com.instagram.android.png
Screenshot_2026-01-03-16-01-11-802_com.instagram.android.png
Screenshot_2026-01-03-16-01-42-392_com.instagram.android.png

.
.
.
Huku nako naona habari Shilole amepata ajali, gari alilopanda limegonga ng'ombe, Watanzania wanauliza kama ng'ombe yupo salama 🙌
Screenshot_2026-01-03-15-46-06-295_com.facebook.lite.png

.
.
Hii sio nzuri hata kidogo, huyu mama angeangalia hata namna basi ajiuzulu tu kistaarabu maana watu wengi inaonekana hawampendi na sio vizuri Watanzania wengi wanaishi na chuki na manung'uniko kwenye nchi yao. Ona matusi yote haya na chuki, mivutano ya kidini, kutukanana, vinyongo yani tunazidi kusambaratika kama taifa. Sasa tutaishi hivi hadi lini
 
Leo katika pitapita zangu mitandaoni nikaingia page ya Millard Ayo kuangalia post za hizi siku mbili tatu. Aisee watu mnamchukia Samia sio poa, yani watu wanakasirika kabisa kuona habari za Samia. Dah
View attachment 3524626View attachment 3524627View attachment 3524628View attachment 3524629
.
.
.
View attachment 3524633View attachment 3524648
View attachment 3524634View attachment 3524635View attachment 3524636View attachment 3524637
.
.
.
Huku nako naona habari Shilole amepata ajali, gari alilopanda limegonga ng'ombe, Watanzania wanauliza kama ng'ombe yupo salama 🙌
View attachment 3524642
.
.
Hii sio nzuri hata kidogo, huyu mama angeangalia hata namna basi ajiuzulu tu kistaarabu maana watu wengi inaonekana hawampendi na sio vizuri Watanzania wengi wanaishi na chuki na manung'uniko kwenye nchi yao. Ona matusi yote haya na chuki, mivutano ya kidini, kutukanana, vinyongo yani tunazidi kusambaratika kama taifa. Sasa tutaishi hivi hadi lini
Samia kitoko.

Unakijua kitoko?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom