Watanzania mnajionaje?

Huezi kujibu yanini coment, chief?
// Mnajionaje
 
Mmmh, nimekuelewa ukichomaanisha, ila Umekosea kuiwasilisha vizuri mada
 
huyu anakunya mlangoni baadae anaulizia mlango ulipo
 
Watanzania wanapendwa na kuheshimiwa sana na Waafrika wengine huku nje. Hii inatokana na nature yetu ya kutobaguana kikabila na ya ukarimu na ukaribishaji wa Waafrika wowote, na kuwatambua kama ni ndugu zetu.

Waafrika toka Uganda, Kenya, Ghana na Nigeria nimewaona wanafanyiana upendo kwa msingi wa ukabila. Not so Wabongo.

Nina uzoefu wa kukaa nje miaka mingi sana na kuishi na kutembelea nchi nyingi. Tanzania ni nzuri sana, na chochote nilichopata mimekuwa daima narudisha Tanzania kuwekeza.

There is nothing wrong with us. Sisi tuna tabia nzuri ya amami, ukarimu na furaha. Dunia nzima inatuheshimu kwa hilo.

Miaka ya karibuni kumejitokeza katabia kapya kabovu ka kujali wenye mali na kudharau mafukara. This is new. Na sasa naona kuna hii mbaya zaidi ya kujichukia wenyewe.

Inferiority complex aliyonayo mleta mada ni ya kutisha! He or she needs to see a shrink
 
Mtoa mada " nakukumbusha tu"" hii comment " imetoka kwa mtanzania""......
 
Hahahaha
Sja wahi ona eti mkenya ana waponda wenzie ana wavalue wa Rwanda ila wabongo wachache wana ulimbukeni huo
Halaf kama ulivo sema una kuta hajawahi hata kuachieve jambo la maana at least awe wa mfano basi
jambo la maana kwake kupanda ndege "mkuu""....usikute hata mjumbe wa nyumba 10 hamjui""
 
umelitendea haki jina lako "" mkuu"
 
hahaaaa"" mtoa mada hajawahi hata kuingia JI .na jukwaa La siasa ..nakupata nondo za maana huwa na muona akiishia kwenye haya majukwaa ya kutoana stress"" na ndio maana akasema kuwa " hakuna watu wanaojielewa"" lakini kama angethubutu kufanya hivyo ""sidhani kama angeshangaa kuona Pascal mayalla akiwa ameitwa na kamati ya bunge "" nadhani kama angepitia hoja za hayo majukwaa ipaswavyo angekuja katika huu Uzi wake nakufuta kauli zake dhidi ya watanzania ""
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…