Watanzania mnajionaje?

Kijana anamiliki I phone basi anaona kila kitu ameshamaliza katika Dunia hii.
 
Mtazamo hasi huu, hizo tuhuma sihusiki nazo.
 
Ewaaaa! Mkuu mawazo yangu na yako yamefumaniana! Nilitaka kuwasilisha hiki ulichokisema, Ramli yangu inaniambia kuwa huyu ni ONTARIO katika ID mpya! Na kama ni yeye basi ajue anahitajika huku atoe ufafanuzi wa grisi' ya Mil 50 aliokwapua.
 
Inapofikia hatua ya kuona maisha ya watanzania ni ya ajabu hapa unafikia hata kuona kizazi chako (Baba na Mama) ni watu wa ajabu kuliko sisi.

Umewahi kujiuliza hiyo jamii uliyopo unavyokuona wa ajabu?

Watanzania sisi ni wapuuzi na wajinga wa kiwango cha juu huna uwezo wa kuubadilisha kifikra au kimtazamo juu ya maisha yetu, tunaishi tutakavyo ili mradi hatuvunji sheria zetu na maisha yetu haya yanatufanya tuzoee kile tunachofanya.

Kufika tu hapo Goma umeanza kutuona mbwa je ungefika Uturuki au Uarabuni si ungejiua kwa chuki zako dhidi yetu.
 
hongera kwa kufanya kazi huko mkuu nimependa CV yako ulivyo anza ila kuna maneno una andika kifupi rekebisha hapo mkuu
 
Una maanisha nini hapo unaposema Mtanzania ashikiwe bango kupata visa??? Fafanua vizuri jamii ikuelewe. Yaani una passport ya Tanzania unanyimwa visa kivip??
 

Najitahidi pia kuishi hivi, kama mtu hanihusu nataka nisiwe na sababu ya kuingilia uhuru wa maisha yake na kile anachofanya.

Utaumiza kichwa kurekebisha kila mtu aishi unavyotaka wewe, utaweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…