Bugari bijoga
Member
- Mar 18, 2012
- 13
- 0
Ni jambo la busara na kimaendeleo kuona nchi inatoka kwenye mfumo wa digital na kuingia mfumo wa analogy ifikapo Dec, 30 lakini je wa TZ mnaufahamje huu mfumo maoni yako ni mhim sana?
hatuufahamu wewe unasemaje?