nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,673
- 14,052
Mara kwa mara toka kale tumekuwa tukijinasibu kwamba sisi hatuna ukabila wala chuki kwa kujilinganisha na majirani zetu wa Kenya,
Lakini cha ajabu waTanzania tumekuwa na mambo ya kutia aibu sana hasa ninyi ma Diaspora mambo ya kuchomana chuk, wivu, fitna,uchawi na ushirikina,
Wenzetu wa KE tunawasema wana chuki na ukabila lakini tafiti zinaonyesha wana umoja wenye nguvu sana biashara za maana ambazo watanzania ndio tumekuwa cheap labour kwao,(kwa kifupi waTZ ni watumwa kwa wa KE)
Kwa upande wa nyumbani wa KE wamewekeza.... DATA zipo waweza ku google....kila mwaka mabilioni yanaingia nchini mwao,,,siye watanzania aaahhh twakwea minazi tu.
Pamoja na vurugu zote za Trump lakini waKE wamefanikiwa ku ''lobby'' kwa raia wao wasio na makaratasi kupata msaada wa green card hasa wenye record safi na wale wanao fanya kazi halali kwenye sekta ya afya,,,siye mabalozi wetu na mawaziri aaah hawana khabari yakhee..
Wenzetu wanawekeza nchini mwao kuna viwanda vya ma Diaspora kuna Mahoteli ya Diaspora kuna mashamba na mifugo ya Diaspora....sisi waTanzania kama tukianzisha ka umoja fulani ghafla yanaibuka maneno umbeya fitna majungu kuharibiana n,k, ndugu zangu hii ni AIBU,
NIPO TAYARI KUKOSOLEWA KAMA HUU NI UONGO.
Lakini cha ajabu waTanzania tumekuwa na mambo ya kutia aibu sana hasa ninyi ma Diaspora mambo ya kuchomana chuk, wivu, fitna,uchawi na ushirikina,
Wenzetu wa KE tunawasema wana chuki na ukabila lakini tafiti zinaonyesha wana umoja wenye nguvu sana biashara za maana ambazo watanzania ndio tumekuwa cheap labour kwao,(kwa kifupi waTZ ni watumwa kwa wa KE)
Kwa upande wa nyumbani wa KE wamewekeza.... DATA zipo waweza ku google....kila mwaka mabilioni yanaingia nchini mwao,,,siye watanzania aaahhh twakwea minazi tu.
Pamoja na vurugu zote za Trump lakini waKE wamefanikiwa ku ''lobby'' kwa raia wao wasio na makaratasi kupata msaada wa green card hasa wenye record safi na wale wanao fanya kazi halali kwenye sekta ya afya,,,siye mabalozi wetu na mawaziri aaah hawana khabari yakhee..
Wenzetu wanawekeza nchini mwao kuna viwanda vya ma Diaspora kuna Mahoteli ya Diaspora kuna mashamba na mifugo ya Diaspora....sisi waTanzania kama tukianzisha ka umoja fulani ghafla yanaibuka maneno umbeya fitna majungu kuharibiana n,k, ndugu zangu hii ni AIBU,
NIPO TAYARI KUKOSOLEWA KAMA HUU NI UONGO.