GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,922
Kuna Ndege (Helicopter) ya MONUSCO (Askari wa Kulinda Amani huko Congo DR) Jana imedunguliwa ikiwa na Askari Nane ( 8 ) wa Kulinda Amani na Wote wamefariki dunia.
Natambua kuwa Tanzania ina Askari wake wengi pia huko ambao 'batch' ya mwisho iliondoka Wiki Mbili au Tatu tu zilizopita baada ya wale waliokuwepo huko kwa Miezi 13 Kurejea nchini hivyo so vibaya sana kama Serikali itatoa Tamko lake kama katika hao Askari Nane waliokuwepo na wamewafiriki hakuna wa kutoka Tanzania ili tutoe Hofu.
Taarifa ya 'Kudunguliwa' kwa 'Chopper' hii iliripotiwa Jana Jioni na BBC Dira ya Dunia kupitia Redio One ambapo Watangazaji wa Zamu walikuwa ni Wadada Regina Mziwanda na Scola Kisanga.
Natambua kuwa Tanzania ina Askari wake wengi pia huko ambao 'batch' ya mwisho iliondoka Wiki Mbili au Tatu tu zilizopita baada ya wale waliokuwepo huko kwa Miezi 13 Kurejea nchini hivyo so vibaya sana kama Serikali itatoa Tamko lake kama katika hao Askari Nane waliokuwepo na wamewafiriki hakuna wa kutoka Tanzania ili tutoe Hofu.
Taarifa ya 'Kudunguliwa' kwa 'Chopper' hii iliripotiwa Jana Jioni na BBC Dira ya Dunia kupitia Redio One ambapo Watangazaji wa Zamu walikuwa ni Wadada Regina Mziwanda na Scola Kisanga.