Watanzania 7 wauawa kwa risasi Zambia

Watanzania 7 wauawa kwa risasi Zambia

We unaweza jua magari au unakurupuka tu????!!
Kwa mtu wa gari ukisikia hint lazima uhoji sasa we bandari ipo Dar engine ziwe nyingi Zambia unachukuaje hii habari???!!!!

Au we ndiye uliyebaki kati ya wahanga? ???!!!


ha umejuaje? kazi ya kuotea inakufaa zaidi
 
You didn't have to do this watu nane.

mkuu kuna watu wengine wapuuzi sana...

hii habari iliwekwa usiku wa manane kwa muda wa bongo na haikuwa na maelezo mengi...

somebody quoted me later and it's his/her quote that brought me back...

nikarespond kwa hiyo quote without knowing kama kuna uhariri wowote uliofanyika...

sasa huyu choko pasipo kujua kinachoendelea anaanza kuleta lugha ya kashfa...

huwezi mvumilia kimburukutu kama huyo mkuu asiye na heshima...
 
Wewe choggo ma.ta.ko yanakuwasha nini? Sasa ulivyoendelea kuisoma hukuelewa nini? Tu.mba.ff!!!

hapa hakuna watu wanaonunua uwemba we mbulumundu...
 
Mkuu mimi naongea kulingana na matukio ya uhalifu yalivyoshamiri hapa Tunduma na mara chache kwa upande wa Zambia.

Juzi hapa wafanyabiashara wa ma Guest house wameandamana hadi kwa mkuu wa kituo wakishinizwa ahame, maana ameshindwa kudhibiti uhalifu.

Ndio kuua mwizi ni kavunja sheria, lakini ni mara ngapi wananchi wanaua wezi kwa kigezo cha wananchi wenye hasira.

Jana tumesikia polisi wameua baadhi ya Majambazi yaliyovamia kituokuua na kupora silaha.

Upande wa Zambia polis kuua hawaoni kazi.

Kweli mkuu tunduma ujambazi unatisha.
 
Engine za dcm toka lini zinapatikana zambia?

Wa pumzike kwa amani

Zipo Mkuu zambia pindi ile India amepata leseni ya Kutengeneza Toyota DCM Body Zambia walizinunua sana nyingi zimewashinda wameziweka uwani tu na kule hali ya hewa ni nzuri hivyo zipo kama mpya vile ukizingatia na Body ndio vile aluminium mpaka yesu aje zipo... Nilipata Ushauri kwa jamaa ambao huenda huko.... zinapatikana kwa bei chee tu.

Tatizo lako hufuatilii ile Treni ya TAZARA hubeba nini ikiwa inaenda Zambia...
 
namjua marehemu mmoja ila yeye ni mfanyabiashara kuhusu ujambazi sijui
 
namjua marehemu mmoja ila yeye ni mfanyabiashara kuhusu ujambazi sijui

Jazia nyama hiyo habari yako mkuu...huenda kuna vingi unaweza kutugea.Ni mfanyabiashara ipi? kitongoji kipi? na hili tukio ukilinganisha na biashara zake unapata picha gani?...hebu funguka mkuu.
 
Jazia nyama hiyo habari yako mkuu...huenda kuna vingi unaweza kutugea.Ni mfanyabiashara ipi? kitongoji kipi? na hili tukio ukilinganisha na biashara zake unapata picha gani?...hebu funguka mkuu.

mfanyabiashara wa spare za magari, anakaa DSM na biashara yake ipo DSM. Hilo tukio siwezi kufahamu kwa nini limetokea
 
Wamekuambia wamefuatilia michirizi ya damu toka kule vichakani ikawangoza weeeeeeh, hadi wakavuka mpaka wa Nakonde na kuishilia Tanzania. Tanzania wanatakiwa waone hiyo michirizi kutoka walipokomea kuona wazambia, waende nayo hadi inakoishia. Mengi yanawezekana.

Inawezekana si wa Tanzania/ ama ni Watanzania lakini wameuliwa Tanzania wakatupwa Zambia ili kupoteza mwelekeo wa upelelezi na kwa kutokujua kwamba kumbe damu zilikuwa zikitiririka kila walikopitia.

Ama inawezekana ni Watanzania wameuliwa Zambia, halafu damu ikamiminwa kuelekea Tanzania ili kupeleka mkondo wa tuhuma.

Lakini, hiyo michirizi ya damu imepitia pale mpakani Nakonde ama iliruka na kuonekana baada ya kuvuka mpaka.

Ni vizuri pia wakawahoji na askari wetu pale mpakani, wakati wanakagua magari hawakuona gari ina maiti ama inachuruzisha damu.

Ni mambo ya huzuni sana!.


Walijuaje kuwa ni wa-Tanzania?
 
Kifo cha ndugu yako mpendwa, katika mazingira yasiyojulikana, na unajua kabisa hana ugomvi na mtu kinauma sana. Sana.
 
Kifo cha ndugu yako mpendwa, katika mazingira yasiyojulikana, na unajua kabisa hana ugomvi na mtu kinauma sana. Sana.
Pole Karucee ila kuna mengi ya kuchunguzwa maana wanaonekana walitekwa watakauliwa
 
Last edited by a moderator:
Kuona tu michirizi huwezi jua unakotoka wala unakoenda, weka points A B C D E F G weka mchirizi kuanzia C mpaka E mwite mtu muulize ulianzia wapi huo mchirizi. Akijibu muulize nani kachora hizo Alphabets!!!!!
Mkuu kama mchirizi umeanzia point A huwezi kulazimisha kuanzia C, lazima ukaanzie huko huko kwenye point A. Sasa wanaojaribu kuwatuhumu Wazambia kwamba ndo wamewaua wa-TZ ndo sikubaliani nao. Kama mchirizi umeanzia TZ tujiulize sisi wenyewe nani kafanya haya? Na hiyo itakuwa kazi ya Polisi kujua ni wapi hasa mchirizi ulikoanzia!! Hii ni sawa na jirani yako aue mtu halafu aje aitupe maiti shambani kwako!! Je, utakubali ukiambiwa wewe ndo umehusika? Au utafutailia huko maiti ilikotoka?
 
Back
Top Bottom