Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,314
- 7,167
kweli watanzania wapumbavu, mnaambiwa wenzenu wameuawa kama mbwa na kutupwa mizoga mnachoweza kusema n rest in peace, mmelaaniwa mnadhania siku zote zinakua ni habari za watu wengine, zamu yako inakuja na wewe utafanywa hivyo hivyo, unajuaje kama sio watanzania wenzatu waliotuua, haya ya wakina sitta na tamaa zao unadhani tunasalimika? akili nyepesi na uvivu wa kufikiri umeshafikiria ni ya watu wasiokuhusu, shit kabisa
Kwa hiyo unataka watu wafanyeje? Wewe utakuwa mchochezi. Viachie vyombo vya dola vifanye kazi yake wacha kuhamasisha machafuko!