Watanzania 7 wauawa kwa risasi Zambia

Watanzania 7 wauawa kwa risasi Zambia

msibadili mada Engine ya DCM ni gari usijifanyi hujawahi panda dala dala weye... hapa tunazungumzia Islamic state,, au Dawla islamiyya..... hao mengine ya DCM tupa kule
 
Tatizo wengi wenu hamjui kero za hao Majambazi hapa Tunduma, mji mdogo lakini matukio ya uhalifu si haba.

Bahati mbaya kwao safari hii wameenda kuvamia Zambia ambako Polis kurusha risasi sawa na Tanzania polis kukunasa kofi.

Mkuu kuna kitu unajua kama sio kuficha! Mimeona comment zako kama nne ukitetea huu unyama! Hata kama ni majambaazi je, hiyo ndo adhaabu stahili kwao? Na je ni nani aliyewaua tena kwa risasi? Je, kama nni polisi wa Tanzania au Zambia kwa nn wakawatupe miili yao porini??? Ukuumbbuke kuwa Zambia imekuwa ikiua raia wa Tanzania hata kwaa makosa madogo ya kufikishwa kwa vyombo vya sheria!
 
Hamna vurugu zozote zitakazo tokea, waliouwawa ni Majambazi wanafahamika isitoshe sio wakazi wa Tunduma wametokea Mbeya, na kati ya waliouwawa wawili ni wazambia.

Hapa Tunduma tumechoka na uhalifu wa silaha, matukio ya uhalifu hayaishi mara nondo, mapanga na Bunduki ni jambo la kawaida.

Imefika mahali wananchi wanalaumu Polis kuwa hawafanyi kazi ipasavyo

Hivyo wanavyopunguzwa ni afadhali kwetu wananchi.

"Audi alteram partem" .........................hear the other side, sintosema chochote maana hatujasikia utetezi wowote upande wa victim
 
Mkuu kuna kitu unajua kama sio kuficha! Mimeona comment zako kama nne ukitetea huu unyama! Hata kama ni majambaazi je, hiyo ndo adhaabu stahili kwao? Na je ni nani aliyewaua tena kwa risasi? Je, kama nni polisi wa Tanzania au Zambia kwa nn wakawatupe miili yao porini??? Ukuumbbuke kuwa Zambia imekuwa ikiua raia wa Tanzania hata kwaa makosa madogo ya kufikishwa kwa vyombo vya sheria!
Mkuu mimi naongea kulingana na matukio ya uhalifu yalivyoshamiri hapa Tunduma na mara chache kwa upande wa Zambia.

Juzi hapa wafanyabiashara wa ma Guest house wameandamana hadi kwa mkuu wa kituo wakishinizwa ahame, maana ameshindwa kudhibiti uhalifu.

Ndio kuua mwizi ni kavunja sheria, lakini ni mara ngapi wananchi wanaua wezi kwa kigezo cha wananchi wenye hasira.

Jana tumesikia polisi wameua baadhi ya Majambazi yaliyovamia kituokuua na kupora silaha.

Upande wa Zambia polis kuua hawaoni kazi.
 
Zambians ni watu wenye roho za kikatili sana ingawa ni jirani zetu! Mtanzania ukiingia Zambia tu lazima utafahamika maana raia wa nchi hiyo wako makini na kutoa taarifa kwenye vyombo vya usalama vya nchi hiyo. Na ukishikwa hata kama una vibali utadaiwa utoe rushwa na Polisi wa huko. kama huna vibali maisha yako yako hatarini. utatupwa mahabusu! then unaweza kutolewa as if wana urafiki na wewe. watakuambia haya nenda tumekuachia. wakati unaondoka umetega mgongo askari atakupiga risasi then atasema ulikuwa unatoroka! ukitaka polisi wa zambia awe rafiki yako hata kama umetenda kosa la kutokuwa na kibali wewe mpe ahadi ya kwamba ukirudi TZ utampelekea mchele! wanapenda ubwabwa hao....
 
kUNA HAJA YA KUPELEKA VIJANA WETU WA JWTZ HUKO HUKO ZAMBIA KUWASAKA HAO KILLERS KILA KIJIJI KILA KITANDA
 
kweli watanzania wapumbavu, mnaambiwa wenzenu wameuawa kama mbwa na kutupwa mizoga mnachoweza kusema n rest in peace, mmelaaniwa mnadhania siku zote zinakua ni habari za watu wengine, zamu yako inakuja na wewe utafanywa hivyo hivyo, unajuaje kama sio watanzania wenzatu waliotuua, haya ya wakina sitta na tamaa zao unadhani tunasalimika? akili nyepesi na uvivu wa kufikiri umeshafikiria ni ya watu wasiokuhusu, shit kabisa

hivi wewe ni wa taifa gani vileee? :A S wink:
 
This is too bad aisee, yaani matukio kama haya ndio huwa nakumbukaga zile documentaries za FBI Criminals Pursuit, kwa hapa bongo unyama kama huo sishangae ukaisha hivihivi tu.... bora haya yangetokea mbele haki ingetendeka mwisho wa siku
 
msibadili mada Engine ya DCM ni gari usijifanyi hujawahi panda dala dala weye... hapa tunazungumzia Islamic state,, au Dawla islamiyya..... hao mengine ya DCM tupa kule
We unaweza jua magari au unakurupuka tu????!!
Kwa mtu wa gari ukisikia hint lazima uhoji sasa we bandari ipo Dar engine ziwe nyingi Zambia unachukuaje hii habari???!!!!

Au we ndiye uliyebaki kati ya wahanga? ???!!!
 
zambia wabaya ila hawajafikia wa malawi aisew
 
Tetesi ambazo hazijadhitishwa ni kuwa hao marehemu ni Majambazi walitokea Mbeya mjini, Nia yao walitaka kavunja duka la kubadilishia fedha Nakonde.

Na kati yao kuna wazambia wawili ambao walishirikiana nao,nao wameuwawa.

Tetesi za Mbeya zinasema hao marehemu wanafahamika vizuri tu kwa matukio yao ujambazi wa siku nyingi.

NB.Kuhusu maiti kupatikana mita 500 sio hoja kulingana na maingiliano makubwa yaliopo kati ya Tunduma na Nakonde ni kama mji mmoja

ndio maana kuna watanzania wengi wanaendeshea shughuli zao upande wa Zambia lakini wanalala Tanzania vivyo hivyo kwa Wazambia.

sasa hapa napata swali.., kama ukivamiwa na majambazi ukawashinda nguvu katika kupambana ukawaua, unawatupa vichakani au unatoa taarifa polisi kwa maelezo na uthibitisho zaidi?? Nina shaka na hizi tetesi
 
ukisoma gazeti la mwananchi wanasema, hao waliouawa waliuwawa kwa tuhuma za ujambazi!
 
kweli watanzania wapumbavu, mnaambiwa wenzenu wameuawa kama mbwa na kutupwa mizoga mnachoweza kusema n rest in peace, mmelaaniwa mnadhania siku zote zinakua ni habari za watu wengine, zamu yako inakuja na wewe utafanywa hivyo hivyo, unajuaje kama sio watanzania wenzatu waliotuua, haya ya wakina sitta na tamaa zao unadhani tunasalimika? akili nyepesi na uvivu wa kufikiri umeshafikiria ni ya watu wasiokuhusu, shit kabisa

Wataka tufanyeje sasa? Tupigane vita? au na sisi tuwakamate wazambia 7 tuwaue? Kazi yake Mola hiyo tuiache endapo wahusika wakikamatwa ndio tusimamie kidete haki itendeke
 
kweli watanzania wapumbavu, mnaambiwa wenzenu wameuawa kama mbwa na kutupwa mizoga mnachoweza kusema n rest in peace, mmelaaniwa mnadhania siku zote zinakua ni habari za watu wengine, zamu yako inakuja na wewe utafanywa hivyo hivyo, unajuaje kama sio watanzania wenzatu waliotuua, haya ya wakina sitta na tamaa zao unadhani tunasalimika? akili nyepesi na uvivu wa kufikiri umeshafikiria ni ya watu wasiokuhusu, shit kabisa

Mkuu mimi nakuapia hakuna nchi yenye majinga majinga kama hii yetu. Kwanza watu hawajasoma habari waielewe... kwani inasema KUNA UWEZEKANO wameuawa Tanzania halafu wakaenda kutupwa huko. Halafu siku hizi umezuka mtindo watu wakisikia janga lolote limetokea na watu wamekufa kitu cha kwanza ni kudai picha. Wakishaiona picha za marehemu comments wanayoijua ni RIP (nadhani wengi hawajui hata maana). Wakijitihadi sana wata-comment ''inauma sana'' au ''inasikitisha sana''.
 
Your very wrong Bro, you can't get the DCM Engine in Zambia. Most Zambians they used to come to Tanzania for Automotive Parts. Don't go there for parts, you will be wasting your time,
 
We kimburukurukutu usijifanye unajua sana...

Taarifa hii ilipowekwa mwanzo haikuwa na maelezo hayo unayoyaona sasa...

Wewe choggo ma.ta.ko yanakuwasha nini? Sasa ulivyoendelea kuisoma hukuelewa nini? Tu.mba.ff!!!
 
Back
Top Bottom