St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,589
- 4,423
Siku moja nilitembelea kijiji fulani wilayani songea.Kufika huko nilipafurahia kwelikweli,siku moja jioni nilibahatika kupata mwanamwali kigori asiye na mfano.Tukakubaliana tutafute nafasi ya kujipumzisha,tulipopata sehemu ikawa tunajiandaa kwa shughuli iliyo mbele yetu,basi mwenzangu alipotoa mavazi yake nikagundua kuwa hakuwa na nguo ya ndani,nikamuuliza vipi mbona hujavaa ch..pi akanijibu leo sio zamu yangu kachukua dada kaenda nayo sokoni.