Chereko Chereko
Member
- Dec 4, 2011
- 54
- 6
Kwa wale wanaomkumbuka marehemu David Wakati, watakubaliana nami. Pia walikuwepo wengine maarufu kama Blandina Mongezi, Eda Sanga, Ahmed Kipozi, Jacob Tesha, Taji Liundi, Pili Mtambalike na wanaotamba kwa sasa ni pamoja na Abdallah Mwaipaya, Ephraim Kibonde, Godwin Gondwe, Charles Hilary wa BBC, Michael Baruti, na wengine kadha wa kadha. Listi ni ndefu unaweza kuongezea....
Hata hivyo warefu wanahesabika kwa uchache wao kama vile Uncle J (Julius Nyaisanga)....
Hata hivyo warefu wanahesabika kwa uchache wao kama vile Uncle J (Julius Nyaisanga)....