Watangazaji wa EFM kama hamjui nyimbo kaeni kimya

Watangazaji wa EFM kama hamjui nyimbo kaeni kimya

nanga mstafu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2016
Posts
381
Reaction score
649
Hivi kuna umuhimu gani wa kutaja mwinbaji wa nyimbo kama huna uhakika au kwanini usiache tu zikapiga au anayejua akataja?

Kipindi cha ubaoni wamepiga wimbo unaoitwa dont leave me wa BLACKSREET , sasa kuna mmoja karopoka wimbo unaitwa dont leave me wa backstreet boys sasa kuna mwingine akawa anauliza ni backstreet au blackstreet?

Hiyo sio poa kabisa
 
Watangazaji wengi wa kibongo hawana taarifa nyingi juu ya vingi wanavyovizungumza...sio nyimbo pekee vitu vingi wanatoa boko...
 
Ubaoni kinaongoza kwa kuwa na watangazajo vihiyo,wasiosomea taaluma na pia STD VII waliofel
Hivi kuna umuhimu gani wa kutaja mwinbaji wa nyimbo kama huna uhakika au kwanini usiache tu zikapiga au anayejua akataja?

Kipindi cha ubaoni wamepiga wimbo unaoitwa dont leave me wa BLACKSREET , sasa kuna mmoja karopoka wimbo unaitwa dont leave me wa backstreet boys sasa kuna mwingine akawa anauliza ni backstreet au blackstreet?

Hiyo sio poa kabisa
 
Back
Top Bottom