Nkobe
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 2,162
- 3,162
Wana JF, kama wewe ni mfuatiliaji wa kipindi cha BBC swahili cha Star tv kinachorushwa mida ya saa tatu kasoro usiku utakubali kuwa kuna tofauti kubwa kati ya Utangazaji wa Salim Kikeke na watangazani wa Kitanzania. Pia utaona utofauti wa jinsi habari inavyopangiliwa.
Huyui jamaa na wenzanke kwanza wanatangaza wakiwa huru sana, yaani wanajiachia, wanatabasamu na ikibidi wanaleta jokes kidogo. Yaani kwa ujumla utatamani taarifa isiishe. Kwa upande wa kwetu hapa utaona watangazaji wanasoma taarifa wakiwa hawako huru kabisa, wanasoma taarifa kama vile wanatoa Tangazo kwenye mkutano, wanatangaza utafikiri wameambiwa mguu sawa kama jeshini. Nashauri vyombo vyetu vya habari wabadirike angalau waanze kuwa huru, waalike professionals mbalimbali ambao wanaweza kutoa ufafanuzi wa habari fulani angalau kuweka chachu katika habari.
Huyui jamaa na wenzanke kwanza wanatangaza wakiwa huru sana, yaani wanajiachia, wanatabasamu na ikibidi wanaleta jokes kidogo. Yaani kwa ujumla utatamani taarifa isiishe. Kwa upande wa kwetu hapa utaona watangazaji wanasoma taarifa wakiwa hawako huru kabisa, wanasoma taarifa kama vile wanatoa Tangazo kwenye mkutano, wanatangaza utafikiri wameambiwa mguu sawa kama jeshini. Nashauri vyombo vyetu vya habari wabadirike angalau waanze kuwa huru, waalike professionals mbalimbali ambao wanaweza kutoa ufafanuzi wa habari fulani angalau kuweka chachu katika habari.