@Mshana nje ya mada kidogo..
Hivi hicho kibibi ulikifanyaje enzi za ujana wake, mbona kakikuona kila mara kanapandisha maruhani?
hao wanaounga mkono jambo hilo lisilofaa katika taifa ilipaswa walambwe risasi za moto hadharani! Yes.Mwaka 2000 nikiwa Malaysia kwenye kongamano la dini ya Buddha pale Malaysia university nilikutana na mhindi mmoja tajiri aliyewahi kuishi na kutajirikia bongo.
Kwa utani unaouma na kuakisi ukweli akasema usipotajirika Tanzania ni ngumu kutajirika pengine Niliumia sana naye aliyaona maumivu yangu lakini huo ndio ulikuwa ukweli
Mkataba mbovu wa bandari zetu zote na kampuni kubwa ya DPW umeshapigiwa kelele na kila kaliba ndani ya taifa hili lakini bado kuna mazuzu wajinga wachache wanaona unafaa
Kati ya hao kuna wale walioko mamlakani ambao wamepata chochote ili kuutetea.. Hawa kwangu ni wahaini na wasaliti wakubwa na hukumu yao kuna siku itafika
Ninaowahurumia ni hawa wafuata mkumbo kwasababu za kiimani, itikati za kisiasa jinsia na wote wenye fikra finyu kwamba nwafrika hawezi kitu bila msaada wa ngozi nyeupe ama manjano..
Kinachopiganiwa ni kwa maslahi ya watoto, vijukuu, vitukuu na vining'ina vya taifa hili la Tanganyika.. Bila kujali
Imani zao
Rangi zao
Itikadi zao nk
Haya yote hawayaoni.. Inafika mahali unajiuliza je wana matatizo ya akili?
Unatumia ID's kibao kutetea uhaini mliofanya. Hela ya udalali huwa hailiwi, mpaka mpangaji awe amehamia.Yes! Here iam.
Mwanasheria makini mwenye hoja makini ambaye hadi sasa hakuna ufipa aliyeweza kunijibu hoja zangu juu ya mkataba huu.
Nasema tena naunga mkono mkataba huu wa ushirikiano baina ya Tz na Dubai kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo Bandarini.
Alaah, kumbe ndio maana hasira sana na ukristo, kisa hifadhi!nilishasimulia sana hapa.. Ila kwa ufupi ni kwamba wakati huo way back 2012 nadhani wakati huo kikijifanya kinaishi Canada, Nikakiambia acha uongo uko bongo na unaishi nyuma ya ofisi ndogo ya ccm Lumumba na ikaja kuthibitika ni kweli.. Faizafix wa Canada yuko bongo tena kwa kuhifadhiwa kwenye yale maghorofa chakavu
Hapo alitimuliwa yuko mitaa ya kibiti ukipita Jaribu kabla ya kufika Bungu ana PI ya kuingia mataifa ya Schengen.. Alileta ujuaji wa kindezi huko akapigwa PI ya milele na Mchonga akaipigilia msumari. Ana chuki kubwa sana na Mchonga, ukristo na wakristo
Ni mstaafu wa Jangwani sekondari aliyemaliza mafao yake na kwasasa anaishi kwa hisani ya watu baki na kashamba kadogo ka mihoko huko nilikotaja
Una swali lingine?
We umejuaje kama wanaounga mkono ni sababu za dini?!!!
Nyie mnaopinga hamfanyi hivyo sababu ya dini?!!! Kama ni kweli tuambieni ni lini mlipinga mikataba ya madini ya wazungu?!!!!
Hausongi mbele kwamawazo ya bora liende tu, kwamba liwalo na liwe na litakalo tokea nalitokee. Hiyo sihekima na busara, maana ukikwama tena utafanya jambo lingine lolote kujishusha thamani. Akili mtu wangu, isitoshe mawazo hayo umeyatoa mwanaume, dah! Aisee siutauza mke na watoto ili bora lisonge. Kweli hii nchi elimu yetu haija tukomboa.Jifunze kupokea mambo usiyopenda kuyasikia. Ndo ukweli wenyewe huo. Tumekwama sana kama taifa kwa kuendekeza fikra mgando za hovyo. Sasa lazima tusonge mbele. Nyie mnaopinga mkianza kula matunda mema ya maamuzi ya Serikali ndo mtakuja kujiona kwa namna gani mlivyokuwa wajinga
Inasikitisha mno!Mwaka 2000 nikiwa Malaysia kwenye kongamano la dini ya Buddha pale Malaysia university nilikutana na mhindi mmoja tajiri aliyewahi kuishi na kutajirikia bongo.
Kwa utani unaouma na kuakisi ukweli akasema usipotajirika Tanzania ni ngumu kutajirika pengine Niliumia sana naye aliyaona maumivu yangu lakini huo ndio ulikuwa ukweli
Mkataba mbovu wa bandari zetu zote na kampuni kubwa ya DPW umeshapigiwa kelele na kila kaliba ndani ya taifa hili lakini bado kuna mazuzu wajinga wachache wanaona unafaa
Kati ya hao kuna wale walioko mamlakani ambao wamepata chochote ili kuutetea.. Hawa kwangu ni wahaini na wasaliti wakubwa na hukumu yao kuna siku itafika
Ninaowahurumia ni hawa wafuata mkumbo kwasababu za kiimani, itikati za kisiasa jinsia na wote wenye fikra finyu kwamba nwafrika hawezi kitu bila msaada wa ngozi nyeupe ama manjano..
Kinachopiganiwa ni kwa maslahi ya watoto, vijukuu, vitukuu na vining'ina vya taifa hili la Tanganyika.. Bila kujali
Imani zao
Rangi zao
Itikadi zao nk
Haya yote hawayaoni.. Inafika mahali unajiuliza je wana matatizo ya akili?
P.I (Prohibited Imigrant) haina rivasi.. Labda hapo Mombasa shimo la Tewa nitatoa ticket mojaAlaah, kumbe ndio maana hasira sana na ukristo, kisa hifadhi!kumbe Canada nako tatizo lingine, hebu tufanye mpango huku JF tumchangie nauli akasafishe macho atuondolee haya makasiriko🫣🫣
Mshana Jr nakupa onyo, usirudie kuandika pumba, unaposema hawana akili unamaanisha mpaka Rais Dkt Samia???? Usijiingize mtegoni utanasa.Mwaka 2000 nikiwa Malaysia kwenye kongamano la dini ya Buddha pale Malaysia university nilikutana na mhindi mmoja tajiri aliyewahi kuishi na kutajirikia bongo.
Kwa utani unaouma na kuakisi ukweli akasema usipotajirika Tanzania ni ngumu kutajirika pengine Niliumia sana naye aliyaona maumivu yangu lakini huo ndio ulikuwa ukweli
Mkataba mbovu wa bandari zetu zote na kampuni kubwa ya DPW umeshapigiwa kelele na kila kaliba ndani ya taifa hili lakini bado kuna mazuzu wajinga wachache wanaona unafaa
Kati ya hao kuna wale walioko mamlakani ambao wamepata chochote ili kuutetea.. Hawa kwangu ni wahaini na wasaliti wakubwa na hukumu yao kuna siku itafika
Ninaowahurumia ni hawa wafuata mkumbo kwasababu za kiimani, itikati za kisiasa jinsia na wote wenye fikra finyu kwamba nwafrika hawezi kitu bila msaada wa ngozi nyeupe ama manjano..
Kinachopiganiwa ni kwa maslahi ya watoto, vijukuu, vitukuu na vining'ina vya taifa hili la Tanganyika.. Bila kujali
Imani zao
Rangi zao
Itikadi zao nk
Haya yote hawayaoni.. Inafika mahali unajiuliza je wana matatizo ya akili?
Mmesomewa kanisani au kanisa limesoma kutangaza msimamo wa kanisa!huku tayari tumesomewa waraka wa TEC
Mungu ni mwema
Nina heshima kwa watu Wote hata wale wajinga kabisa.. Nina staha kubwa na uumbaji nina hofu ya Mungu usinilishe maneno nisiyosema.. Nasimama na maandishi yangu sihusiki na tafsiri zakoMshana Jr nakupa onyo, usirudie kuandika pumba, unaposema hawana akili unamaanisha mpaka Rais Dkt Samia???? Usijiingize mtegoni utanasa.
Sawa genius wa jf! Let me keep my big mouth shut.huku ni kuwa petty yaa ni very petty.
Hizi ni tuzo za kupeana tu yaani anayetoa hela nyingi za udhamini na kuwahonga waandaaji hupewa zawadi. Kikubwa tunakata ufanisi wa bandari. Tunawahitaji Dubai waje hapa haraka sana.
Mimi nikianza kufikiria hayo huwa nadhani kuna living zombies duniani wapo tunaishi nao.Mwaka 2000 nikiwa Malaysia kwenye kongamano la dini ya Buddha pale Malaysia university nilikutana na mhindi mmoja tajiri aliyewahi kuishi na kutajirikia bongo.
Kwa utani unaouma na kuakisi ukweli akasema usipotajirika Tanzania ni ngumu kutajirika pengine Niliumia sana naye aliyaona maumivu yangu lakini huo ndio ulikuwa ukweli
Mkataba mbovu wa bandari zetu zote na kampuni kubwa ya DPW umeshapigiwa kelele na kila kaliba ndani ya taifa hili lakini bado kuna mazuzu wajinga wachache wanaona unafaa
Kati ya hao kuna wale walioko mamlakani ambao wamepata chochote ili kuutetea.. Hawa kwangu ni wahaini na wasaliti wakubwa na hukumu yao kuna siku itafika
Ninaowahurumia ni hawa wafuata mkumbo kwasababu za kiimani, itikati za kisiasa jinsia na wote wenye fikra finyu kwamba nwafrika hawezi kitu bila msaada wa ngozi nyeupe ama manjano..
Kinachopiganiwa ni kwa maslahi ya watoto, vijukuu, vitukuu na vining'ina vya taifa hili la Tanganyika.. Bila kujali
Imani zao
Rangi zao
Itikadi zao nk
Haya yote hawayaoni.. Inafika mahali unajiuliza je wana matatizo ya akili?
Binafsi kuna watu nilikuwa nawakubali sana humu Jamiiforum kadhalika heshima yangu kwao ilikuwa kubwa sana na kila nikikutana na nyuzi nikaona naona ni kama vile nakutana na Chuo nisome, lakini tangu nikutane na baadhi ya comments zao zikidhihaki, tuakana,kejeli na kukashifu uislam wangu, uislam wetu, uislam ninaoupenda kuliko anything basi nikawa moyoni mwangu nikaona kumbe nili overrate tu kumbe ni wajinga kabisa na hawana maana na uwezo mdogo Wa kufikiri na wala hawawezi kujenga hoja kwenye vitu ambavyo wana mahaba navyo au chuki navyoBora umelitambua hilo! Unajua, katika hii familia ya Jamii Forum, wewe ni miongoni mwa watu wa mfano katika suala zima la hekima. Kuna wengi wanaokufuatilia na kukutumia kama role model wao bila hata wewe kujua, sasa ikitokea akakutana na comment yako ukiwa umeghafilika, anaweza akavunjika moyo.
Ila tumekuelewa mkuu!
Sad, indeed vey sad!