Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Huwa najiuliza sana kwanini ikaitwa shotgun lol
Ngastuka na machale kundesa
...hhaa hhaa Mkuu ni ya Kaumba nini?!!
ni jinsi gani anajitahidi kumdanganya mkewe kuwa hakuwa na Changudoa
masikini Watanzania wasio na hatia wakiwa wamefungwa pingu!
Lakini Polisi wajue kuwa katika vitu vibaya kabisa ni pale wananchi wanapopoteza imani na jeshi hilo. Angalia siraha, jeshi na zana alizokuwa nazo Ghadafi lakini ukosefu wa busara unafanya nchi isambaratike. Wenye akili hawatawalaumu waliompindua Ghadafi bali watamlaumu Ghadafi kwa kupelekea hali hiyo.
Polisi wetu jifunzeni kabla ya kuingizwa katika michezo ya kisiasa na watu ambao wana tamaa zao za miili pamoja na familoia zao wala sio tamaa ya kuliendeleza taifa!
Hii movie bado inaendelea tu? Wengine tushaichoka.
hii ni kama 'days of our lives' siyo za kibongo mwisho 'Part II'
"Tuna guilty until proven innocent" ndio maana watu wengi wapo jela kwa kesi ambazo ni bailable.Hivi sie hatuna "innocent until proven guilty" ?