huyo bibie ndie aliyelambwa titi?
Du hadi shigongo kakubali kununuliwa?? Hakuna mwizi wa kuacha bastola kati ya hao,hadanganywi mtu,chonde chonde machangudoa ni nomaaaaa!!!
masikini Watanzania wasio na hatia wakiwa wamefungwa pingu!
Lakini Polisi wajue kuwa katika vitu vibaya kabisa ni pale wananchi wanapopoteza imani na jeshi hilo. Angalia siraha, jeshi na zana alizokuwa nazo Ghadafi lakini ukosefu wa busara unafanya nchi isambaratike. Wenye akili hawatawalaumu waliompindua Ghadafi bali watamlaumu Ghadafi kwa kupelekea hali hiyo.
Polisi wetu jifunzeni kabla ya kuingizwa katika michezo ya kisiasa na watu ambao wana tamaa zao za miili pamoja na familoia zao wala sio tamaa ya kuliendeleza taifa!
...hhaa hhaa Mkuu ni ya Kaumba nini?!!Kama ndo huyo basi inaonyesha ana bonge la mpododo
Haya mkuu nakupa complimentary ya Avatar nyingine hiyo chukua.Hapo mwizi ni mmoja tu, huyo mwanamke. Wengine ni shemeji zake waziri.