Watalaam wa masuala ya mtandao na masuala ya IT naombeni mnipe ufafanuzi kwa faida yangu na wengine

IsaacMG

Member
Dec 6, 2019
63
51
Habari zenu wanajf .
Leo kuna mahali nilipita nikakuta ubishi mkubwa sana kuhusiana na usajiri huu mpya.
kwenye ubishi huo kuna upande ulikuwa unatetea hoja kwamba , kupitia usajiri huu wa Alama za vidole TCRA hawatalazimika kuwa na namba yako ili kupata taarifa zako badala yake Watakuwa wanaingiza jina lako kamili na kuona jina hilo limesajiri laini ipi na kupata taarifa za mhusika.

upande mwingine ukasema kuwa hiyo haiwezekani kupata taarifa za mhusika bila kuwa na namba yake .

watalaam wa masuala ya mtandao na masuala ya IT naombeni mnipe ufafanuzi kwa faida yangu na wengine pia.

ASANTENI SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwenye swala zima la utunzaji wa taarifa kuna mfumo mpya wa utunzaji wa data unaoitwa database, na huu ndio unatumika pia katika teknologia ya sasa.

Ukisema wa search information kupitia jina inawezekana ila sasa changamoto inakuja pale ukikuta mtu zaidi ya mmoja wanamajina sawa hapa ndipo waliamua ku introduce kitu kinaitwa primary key.

Primary hii huwa ni unique namba ambayo inakuwa moja tuu kwenye database nzima ambao kwa mfumo wa NIDA primary key ni NIN, hivyo basi kwa maelezo hayo mafupi ili kupata information kamili za mtu ni lazima kutumia NIN yake. kukosolewa naruhusu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwenye swala zima la utunzaji wa taarifa kuna mfumo mpya wa utunzaji wa data unaoitwa database, na huu ndio unatumika pia katika teknologia ya sasa.

Ukisema wa search information kupitia jina inawezekana ila sasa changamoto inakuja pale ukikuta mtu zaidi ya mmoja wanamajina sawa hapa ndipo waliamua ku introduce kitu kinaitwa primary key.

Primary hii huwa ni unique namba ambayo inakuwa moja tuu kwenye database nzima ambao kwa mfumo wa NIDA primary key ni NIN, hivyo basi kwa maelezo hayo mafupi ili kupata information kamili za mtu ni lazima kutumia NIN yake. kukosolewa naruhusu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani pia ili wajue hiyo NIN ni lazima wasearch number yako ya simu kwenye database kwani number ya simu hutofautiana na hapo ndipo watakapofahamu jina sahihi na kwa ushahidi zaidi wakikugusisha vidole vyako vikatiki umeisha labda viwe vimekatika au vina ukoko 😀
 
Habari zenu wanajf .
Leo kuna mahali nilipita nikakuta ubishi mkubwa sana kuhusiana na usajiri huu mpya.
kwenye ubishi huo kuna upande ulikuwa unatetea hoja kwamba , kupitia usajiri huu wa Alama za vidole TCRA hawatalazimika kuwa na namba yako ili kupata taarifa zako badala yake Watakuwa wanaingiza jina lako kamili na kuona jina hilo limesajiri laini ipi na kupata taarifa za mhusika.

upande mwingine ukasema kuwa hiyo haiwezekani kupata taarifa za mhusika bila kuwa na namba yake .

watalaam wa masuala ya mtandao na masuala ya IT naombeni mnipe ufafanuzi kwa faida yangu na wengine pia.

ASANTENI SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
hyo ni teknolojia, kwahiyo wanapoandika jina kwenye system zao, inaleta details zote za mhusika
 
Namba ya kitambulisho (NIN) ndio yenye uzito zaidi

NIN imebeba taatifa muhimu za muhisika ambazo ni tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa, jinsia, marital status, mkoa, etc.

Mfano kitambulisho ktk picha hapo chini ....muhusika amezaliwa mwaka 1985...mwezi wa 12 .....tarehe 10.
Screenshot_20200111-112302_Gallery.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom