mkuu umetisha sanaEkari moja ni 4000 m2 inamaana itakua ( 4000m2/2m*2.5m)*1
Ambapo unapata ni 800 miche
Formula yako inanigomea nitakuja na maelezo hivi punde!Ekari moja ni 4000 m2 inamaana itakua ( 4000m2/2m*2.5m)*1
Ambapo unapata ni 800 miche
Itakugomea endapo tu eneo sio ekari moja ya kupima kwa futi au kwa gps, njoo na maelezo zaidiFormula yako inanigomea nitakuja na maelezo hivi punde!
Kwa kweli wakuu nashukuru sana sana. Hii JF.ni kisima cha maarifa,kidumu,kimejaa watalaam.Njia nyingine chukua urefu na mapana ya shamba lako, upana gawanya kwa 2.5m kupata idadi ya mistari/matuta shambani kwako, kisha chukua urefu gawanya kwa 2.0 kupata idadi ya mashimo kwa kila mstari. Sasa zidisha idadi ya mashimo kwenye mstari kwa idadi ya mistari jibu utapata tena miche 800
Mkuu nadhani kanuni uliyotoa namna ya kukokotoa idadi ya miche kwenye eneo husika inajieleza vizuri sana. Maelezo yangu ya ziada ni haya. Kwanza nimetoa mfano wa eneo husika kwa kutumia alama na herufi(rejea chini), pili nimetoa ufafanuzi wa herufi na alama, tatu nimeonyesha namna ya kukokotoa eneo lote na spacing, nne nimetumia kanuni yako kukokotoa idadi ya miche kwenye eneo la mfano na mwisho nimeonyesha ni namna gani idadi ya miche kwenye iliyopatikana kwa kutumia kanuni inatofautiana na idadi ya miche iliyoko kwenye mfano.Itakugomea endapo tu eneo sio ekari moja ya kupima kwa futi au kwa gps, njoo na maelezo zaidi
Urefu,Nataka kupanda miche shimo mpaka shimo mita 2.0 halafu nikipata hiyo miche kwenye mistari ya 2.0 nitatenganishwa kwa upana wa mita 2.5. Nahitaji kujua kwenye ekari moja nitaweka miche mingapi.
Natungiliza shukrani kwa ataketumia kichwa chake.