Watakao kuja kukupa msaada huwajui

Watakao kuja kukupa msaada huwajui

Mr Beach Boy

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,702
Reaction score
5,115
Ishi na watu vizuri Sana, usikubali kuwa chanzo cha migogoro Katia Maisha yako ya kila Siku.

Ila usiweke matumaini kuwa watu wako wa karibu ndio msaada wako kamwe usifanye hivyo.

Wanakuja kutusaidia kwenye Maisha yetu ni watu baki ambao hatuwajui kabisa.

Usitegemee marafiki zako ndio msaada wako hapana Ila kuna Kitu nataka Uwe unakifanya Basi automatically utakuwa unatokea msaaada katika mazingira usioitegemea

Kitu hicho ni Saidie wengine usiowajua na usitegemee malipo yoyote.

Ukifanya hivi utakuwa Ndani ya nature.

Kumbuka unachofanya utafanyiwa hata kama Sio Leo
 
Ishi na watu vizuri Sana, usikubali kuwa chanzo cha migogoro Katia Maisha yako ya kila Siku.

Ila usiweke matumaini kuwa watu wako wa karibu ndio msaada wako kamwe usifanye hivyo.

Wanakuja kutusaidia kwenye Maisha yetu ni watu baki ambao hatuwajui kabisa.

Usitegemee marafiki zako ndio msaada wako hapana Ila kuna Kitu nataka Uwe unakifanya Basi automatically utakuwa unatokea msaaada katika mazingira usioitegemea

Kitu hicho ni Saidie wengine usiowajua na usitegemee malipo yoyote.

Ukifanya hivi utakuwa Ndani ya nature.

Kumbuka unachofanya utafanyiwa hata kama Sio Leo
Kwa hiyo unasaidia ili usaidiwe? Unawekeza kwenye biashara ya kusaidiana?
 
Ishi na watu vizuri Sana, usikubali kuwa chanzo cha migogoro Katia Maisha yako ya kila Siku.

Ila usiweke matumaini kuwa watu wako wa karibu ndio msaada wako kamwe usifanye hivyo.

Wanakuja kutusaidia kwenye Maisha yetu ni watu baki ambao hatuwajui kabisa.

Usitegemee marafiki zako ndio msaada wako hapana Ila kuna Kitu nataka Uwe unakifanya Basi automatically utakuwa unatokea msaaada katika mazingira usioitegemea

Kitu hicho ni Saidie wengine usiowajua na usitegemee malipo yoyote.

Ukifanya hivi utakuwa Ndani ya nature.

Kumbuka unachofanya utafanyiwa hata kama Sio Leo
Nini kimekukuta mzee?
 
Ishi na watu vizuri Sana, usikubali kuwa chanzo cha migogoro Katia Maisha yako ya kila Siku.

Ila usiweke matumaini kuwa watu wako wa karibu ndio msaada wako kamwe usifanye hivyo.

Wanakuja kutusaidia kwenye Maisha yetu ni watu baki ambao hatuwajui kabisa.

Usitegemee marafiki zako ndio msaada wako hapana Ila kuna Kitu nataka Uwe unakifanya Basi automatically utakuwa unatokea msaaada katika mazingira usioitegemea

Kitu hicho ni Saidie wengine usiowajua na usitegemee malipo yoyote.

Ukifanya hivi utakuwa Ndani ya nature.

Kumbuka unachofanya utafanyiwa hata kama Sio Leo
71f5eb776f484364b0ff02a75ee47fec.jpg
 
Mtu akileta ufala lazima mgombane tu, haijalishi atakuja kukusaidia au hatakuja kukusaidia, kwanza wakati huo mnagombana hata hayo mawazo ya kusaidiana huwa hayapo wakati huo.
 
Back
Top Bottom