Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Mahi niache 😂

Wanasema usimpige teke mtu ambaye tayari yuko chini (Don't kick someone when they're down).
Hata kama ana mapungufu yake, we unaona ni sawa kuanza kumtukania mzazi wake ambaye ndiyo kwanza amefariki?
Hawana ubinadamu hawana aibu hawana maana. Mzazi na mambo ya jf anaingiaje? Mara aseme kwao pa kawaida, walitaka ajenge ghorofa? Yeye fake p kwao kuna ghorofa?
Nitapoanza kuwa mnyama kama wao hawa kina fake p lamony na cocaSticc watatafuta pa kujificha. Waache waendelee na huu uzushi wao wataona hawanijui vizuri hawa
 
Sijawahi kuripoti mtu, F alitangaza muda wa mechi, naona mödzz nao wakapiga kambi hapo.
Wewe una moto sana wa umbea mwanakwetu, utakuja kupigwa ban na huku 😂 😂
Nashauri afungue nyingine au kama anauo iwe active
 
Hawana ubinadamu hawana aibu hawana maana. Mzazi na mambo ya jf anaingiaje? Mara aseme kwao pa kawaida, walitaka ajenge ghorofa? Yeye fake p kwao kuna ghorofa?
Nitapoanza kuwa mnyama kama wao hawa kina fake p lamony na cocaSticc watatafuta pa kujificha. Waache waendelee na huu uzushi wao wataona hawanijui vizuri hawa
Heh
 
Hakuna story za kutunga, urafiki ulianzia JF na ugomvi pia utamalizwa hapa hapa JF

Wewe ikikuuma meza wembe
Hilo ndio nimesema halitawekana hata nukta. Nikisema huwa ninamaanisha nachosema. Hamtaweza kumzushia wala kumgusa depall. Hamtaweza
 
Sijawahi kuripoti mtu, F alitangaza muda wa mechi, naona mödzz nao wakapiga kambi hapo.
Wewe una moto sana wa umbea mwanakwetu, utakuja kupigwa ban na huku 😂 😂
😹😹😹🤣 Hao wake wenza mi nataka wamalizane kisha kila mmoja amuheshimu mwenzie..!!
 
Usishangae dada angu. Hawa hatua waliyofikia na sisi tukiifikia basi itakula kwao

Nimewapa onyo. Nina resources za kila aina kuweza kuwakabili lakini sijaamua kufanya hivyo siku nikiamua kufanya hivyo tusilaumiane
Hawajui wanadili na nani
 
Wewe bana huna mpya.
Sasa hivi tunasikiza wake wenza km na wewe demu wa CH sema ili tujue tukupe no ngapi uwanjani..!! 😹😹😹
Ukinitukana mimi Kuna mawili naweza kupuuzia au naweza kukukabili. Nikiamua kukukabili utapata tabu sana hilo lijue kabla mambo hayajaharibika
 
Usishangae dada angu. Hawa hatua waliyofikia na sisi tukiifikia basi itakula kwao

Nimewapa onyo. Nina resources za kila aina kuweza kuwakabili lakini sijaamua kufanya hivyo siku nikiamua kufanya hivyo tusilaumiane
Hawajui wanadili na nani
Kumbe hawajui wana dili na nan
 
Wee nawe acha mikwara mbuzi kajambe mbelee hukooo 😹😹😹

Mngese una mikwara km robot la mbao khaaa.!! 🤣😹😹
Bora umesema mikwara maana ikibadilika kuwa reality utapata shida. Hujui resources nilizonazo nikiamua jambo langu
Hii dunia ndogo Ina watu wenye uwezo mkubwa wa kufanya yale usiyotarajia. Rudia tena nilichoandika hapo juu.
 
Usishangae dada angu. Hawa hatua waliyofikia na sisi tukiifikia basi itakula kwao

Nimewapa onyo. Nina resources za kila aina kuweza kuwakabili lakini sijaamua kufanya hivyo siku nikiamua kufanya hivyo tusilaumiane
Hawajui wanadili na nani
Mikwara hiyo ingekuwa ni pesa ungekuwa na hisa nyingi sasa hivi..!! 😹😹😹
 
Bora umesema mikwara maana ikibadilika kuwa reality utapata shida. Hujui resources nilizonazo nikiamua jambo langu
Hii dunia ndogo Ina watu wenye uwezo mkubwa wa kufanya yale usiyotarajia. Rudia tena nilichoandika hapo juu.
Huna jipya acha mikwara.
Kawatishe wapuuzi wenzio aiseee 😹😹😹
 
Back
Top Bottom