Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Wataka mambo hautayaweza😉 - karibu tuzogoe!

Sasa mtu unakakamaa na unatoa mimacho kama mgonjwa wa kifafa, unafikiri mjukuu hataogopa 😂 😂
Kuweni na huruma na Wazee 😊
Mbona hata kama hakasimami bado huwa mnataka tu? au ndiyo akili inataka ila mwili unakulet down 😂
Mchawi umri tu, yaani akili inataka alafu mwili unagoma...tena ukikutana na aliyeuvalisha cheni/shanga unaishia kutoka udenda tu manake hata kuingiza kama utambi hauingii 🙌
Haa haaaa, usiwe mbahili, kunjua mfuko babu 💰💴 wajukuu watakuja wenyewe.
Nipigie pasi basi mjukuu, maana hata kiko siku hizi siletewi babu yao 😜
 
Kuweni na huruma na Wazee 😊
Wajukuu huruma hawana 😂
Mchawi umri tu, yaani akili inataka alafu mwili unagoma...tena ukikutana na aliyeuvalisha cheni/shanga unaishia kutoka udenda tu manake hata kuingiza kama utambi hauingii 🙌
Unakazana kumwambia mjukuu "kachezee chezee kidogo" ila bado ngoma inagoma 😂 😂 ndiyo maana sisi mashangazi tunawakimbia wazee wenzetu.
Nipigie pasi basi mjukuu, maana hata kiko siku hizi siletewi babu yao 😜
Pasi gani tena we mzee, hebu usinichoshe 😂
 
Kuingizwa kwenye huu ugomvi wakati dyudyu sijalionja ni ubatilii
Utu uko wapi
Ubinadamu uko wapi
Dyudyu liko wapi?
Nimecheka sana 😂
Muite mhusika akupe huo ukuni unaogombewa, ili hata wakikutuhumu kautamu unakua umeshapata 😂
 
Kuingizwa kwenye huu ugomvi wakati dyudyu sijalionja ni ubatilii
Utu uko wapi
Ubinadamu uko wapi
Dyudyu liko wapi?
Ningekuwepo toka mwanzo ningekufungulia codes zote..!! 😹😹😹

Ugomvi wao wa kitambo hao sema naye kakurupuka kukumix by yas 🤣

Sema mgonjwa tiba umejua kumpatia kwa vipimo sahihi..!! 3x3 🤣
 
Ningekuwepo toka mwanzo ningekufungulia codes zote..!! 😹😹😹

Ugomvi wao wa kitambo hao sema naye kakurupuka kukumix by yas 🤣

Sema mgonjwa tiba umejua kumpatia kwa vipimo sahihi..!! 3x3 🤣
Hadi kumfunda nimemfunda jinsi ya kumkatikia bwana ili asirudi kwa D ila bado kakaza fuvu 🙌 sina msaada nae

D ashikilie hapo hapo awamu apande juu ya dirisha alirukie kabisa🍆
 
Hilo dyudyu litakuwa na manyoya linatekenya sana mpk waungwana wamepagawa kiasi hiki??
giphy 32.GIF
 
Back
Top Bottom