zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,217
Embu wajuaji wa mambo haya waanze kudadavua wakitokea hapa kwenye income tax practise notice number 05/2013 iliyotiwa sahihi tarehe 1/11/2013.
Imeibuka mijadala juu ya makato ya 18% ambayo ni vAt,kimsing hii ni kodi alipayo mlaji.
TRa wamesema yao na BOT Wamesema yao sasa nani mkweli hapa
Wale wataalamu wa Tax tunawaomba hapa,
Imeibuka mijadala juu ya makato ya 18% ambayo ni vAt,kimsing hii ni kodi alipayo mlaji.
TRa wamesema yao na BOT Wamesema yao sasa nani mkweli hapa
Wale wataalamu wa Tax tunawaomba hapa,