Wataalamu wa umeme msaada tafadhali.

Tanki

JF-Expert Member
Apr 7, 2013
491
189
Wakuu habari za muda.

Nina invetor ya watt 300. Betri ( EXIDE ) N150. Pia nina pannel original kabisa ya watt 100 ( From Germany)

Niliunganisha hivyo vitu na nikawa napata umeme vizuri kabisa bila shida. Taa mbili , Radio na kuchaji simu tu.

Lakini wataalamu siku hizi kuna tatizo limeibuka. Taa zinawaka vizuri tu. Nikiitest tv inafanya kazi vizuri tu. Feni pia inafanya kazi bila shida. NB: TV na FENI huwa sivitumiagi kwakuwa pannel yangu ni ndogo nikitumia hivi vitu usiku lazima umeme uzimike.

Tatizo ni kwenye chargers za simu. Siku hizi nikichomeka charger.basi itafanya kazi kwa muda wa kama siku moja au mbili then itaungua. Nilinunua charger original kabisa ikaungua. Nikanunua nyingine nayo ikaungua. Nikanunua tena nyingine pia ikaungua. Arafu hizi zilizoungua nikizichomeka kwenye cable ghafla invetor huwa inazima arafu huwa inaunguruma kwa sauti fulani hivi na kwenye cable hupiga short. Yaani cheche huruka.

Arafu nakumbuka charger zote kabla hazijaungua zilikuwa zinatoa moto mwingi kwenda kwenye simu. Na nilishaunguza kasimu kangu fulani kadogo tu.

Hivi jana tu nimenunua charger nyingine. Nikachajia simu vizuri tu. Sasa nayo tayari ishaanza kutoa moto mwingi kwenda kwenye simu. Najua muda wowote nayo itaungua. Kuna muda hadi simu inaniambia kabisa kwamba charger inapitisha moto mwingi ( Over Voltage)

Je Wataalam hapa natatua vipi hili tatizo.?

Au kuna kifaa natakiwa nikiweke. Maan mimi nachomeka charger direct kutoka kwenye cable au sometime kutoka kwenye invetor.

Naomba kuwathilisha.
 
kwa utalamu wangu hapo tatizo litakuwa kwenye wirering check vzur kama kuna michubuko pia bettr ikijaa uwe unach0m0a pin za s0lar usitumie kwa pam0ja
 
fafanua kidogo mkuu.
yaan kutumia inviter huku charge inaingia kwenye betr kut0ka kwenye s0lar pia angalia mfum0 wa waya kama uko sawa kama hakuna migusano na michubuko pia extensi0n yako yaweza kuwa na err0r nyng jalibu kubadilisha.
 
Charj unazotumia ni zipi? je nizile za solar tu, au unatumia hizi za umeme ila kupitia inveta
 
Wakuu habari za muda.

Nina invetor ya watt 300. Betri ( EXIDE ) N150. Pia nina pannel original kabisa ya watt 100 ( From Germany)

Niliunganisha hivyo vitu na nikawa napata umeme vizuri kabisa bila shida. Taa mbili , Radio na kuchaji simu tu.

Lakini wataalamu siku hizi kuna tatizo limeibuka. Taa zinawaka vizuri tu. Nikiitest tv inafanya kazi vizuri tu. Feni pia inafanya kazi bila shida. NB: TV na FENI huwa sivitumiagi kwakuwa pannel yangu ni ndogo nikitumia hivi vitu usiku lazima umeme uzimike.

Tatizo ni kwenye chargers za simu. Siku hizi nikichomeka charger.basi itafanya kazi kwa muda wa kama siku moja au mbili then itaungua. Nilinunua charger original kabisa ikaungua. Nikanunua nyingine nayo ikaungua. Nikanunua tena nyingine pia ikaungua. Arafu hizi zilizoungua nikizichomeka kwenye cable ghafla invetor huwa inazima arafu huwa inaunguruma kwa sauti fulani hivi na kwenye cable hupiga short. Yaani cheche huruka.

Arafu nakumbuka charger zote kabla hazijaungua zilikuwa zinatoa moto mwingi kwenda kwenye simu. Na nilishaunguza kasimu kangu fulani kadogo tu.

Hivi jana tu nimenunua charger nyingine. Nikachajia simu vizuri tu. Sasa nayo tayari ishaanza kutoa moto mwingi kwenda kwenye simu. Najua muda wowote nayo itaungua. Kuna muda hadi simu inaniambia kabisa kwamba charger inapitisha moto mwingi ( Over Voltage)

Je Wataalam hapa natatua vipi hili tatizo.?

Au kuna kifaa natakiwa nikiweke. Maan mimi nachomeka charger direct kutoka kwenye cable au sometime kutoka kwenye invetor.

Naomba kuwathilisha.
kazi ya solar panel ni kuchaji betri kwakutumia jua ndiyo maana inaitwa solar panel kwakifupi unatumia umeme wa betri baada ya kulichaji kwa kutumia hiyo panel. nunua charger ambazo zinauwezo wa kutumia betri ya gari hapo huna haja ya kutumia inverter
 
Wakuu habari za muda.

Nina invetor ya watt 300. Betri ( EXIDE ) N150. Pia nina pannel original kabisa ya watt 100 ( From Germany)

Niliunganisha hivyo vitu na nikawa napata umeme vizuri kabisa bila shida. Taa mbili , Radio na kuchaji simu tu.

Lakini wataalamu siku hizi kuna tatizo limeibuka. Taa zinawaka vizuri tu. Nikiitest tv inafanya kazi vizuri tu. Feni pia inafanya kazi bila shida. NB: TV na FENI huwa sivitumiagi kwakuwa pannel yangu ni ndogo nikitumia hivi vitu usiku lazima umeme uzimike.

Tatizo ni kwenye chargers za simu. Siku hizi nikichomeka charger.basi itafanya kazi kwa muda wa kama siku moja au mbili then itaungua. Nilinunua charger original kabisa ikaungua. Nikanunua nyingine nayo ikaungua. Nikanunua tena nyingine pia ikaungua. Arafu hizi zilizoungua nikizichomeka kwenye cable ghafla invetor huwa inazima arafu huwa inaunguruma kwa sauti fulani hivi na kwenye cable hupiga short. Yaani cheche huruka.

Arafu nakumbuka charger zote kabla hazijaungua zilikuwa zinatoa moto mwingi kwenda kwenye simu. Na nilishaunguza kasimu kangu fulani kadogo tu.

Hivi jana tu nimenunua charger nyingine. Nikachajia simu vizuri tu. Sasa nayo tayari ishaanza kutoa moto mwingi kwenda kwenye simu. Najua muda wowote nayo itaungua. Kuna muda hadi simu inaniambia kabisa kwamba charger inapitisha moto mwingi ( Over Voltage)

Je Wataalam hapa natatua vipi hili tatizo.?

Au kuna kifaa natakiwa nikiweke. Maan mimi nachomeka charger direct kutoka kwenye cable au sometime kutoka kwenye invetor.

Naomba kuwathilisha.
Kwa maelezo yako mbona ni sawa tunkiwa invertor ina matatizo now..
 
Wakuu habari za muda.

Nina invetor ya watt 300. Betri ( EXIDE ) N150. Pia nina pannel original kabisa ya watt 100 ( From Germany)

Niliunganisha hivyo vitu na nikawa napata umeme vizuri kabisa bila shida. Taa mbili , Radio na kuchaji simu tu.

Lakini wataalamu siku hizi kuna tatizo limeibuka. Taa zinawaka vizuri tu. Nikiitest tv inafanya kazi vizuri tu. Feni pia inafanya kazi bila shida. NB: TV na FENI huwa sivitumiagi kwakuwa pannel yangu ni ndogo nikitumia hivi vitu usiku lazima umeme uzimike.

Tatizo ni kwenye chargers za simu. Siku hizi nikichomeka charger.basi itafanya kazi kwa muda wa kama siku moja au mbili then itaungua. Nilinunua charger original kabisa ikaungua. Nikanunua nyingine nayo ikaungua. Nikanunua tena nyingine pia ikaungua. Arafu hizi zilizoungua nikizichomeka kwenye cable ghafla invetor huwa inazima arafu huwa inaunguruma kwa sauti fulani hivi na kwenye cable hupiga short. Yaani cheche huruka.

Arafu nakumbuka charger zote kabla hazijaungua zilikuwa zinatoa moto mwingi kwenda kwenye simu. Na nilishaunguza kasimu kangu fulani kadogo tu.

Hivi jana tu nimenunua charger nyingine. Nikachajia simu vizuri tu. Sasa nayo tayari ishaanza kutoa moto mwingi kwenda kwenye simu. Najua muda wowote nayo itaungua. Kuna muda hadi simu inaniambia kabisa kwamba charger inapitisha moto mwingi ( Over Voltage)

Je Wataalam hapa natatua vipi hili tatizo.?

Au kuna kifaa natakiwa nikiweke. Maan mimi nachomeka charger direct kutoka kwenye cable au sometime kutoka kwenye invetor.

Naomba kuwathilisha.
Mkuu hapo kuna kifaa kinaitwa chager control unit vipi umekiweka?? Kama hujaweka jaribu kukiweka na hiyo betri vipi carent zake ziko sawa??
 
Angalau nimechangamsha ubongo kwa kitu cha teknolojia (siasa JF ni zaidi ya 80%)

Kitu ambacho kinapunguza uwezo wa kufikiri (kutumia ubongo positively)
 
Mkuu hiyo inverter inatoa umeme mwingi,
Inawezekana betri yako ime overcharge, tumia voltmeter upime emf ya betri yako kama itazidi 13.5v ujue tatizo ni hilo. Umeunganisha charge controller?
 
Duh pole kwa tatizo hilo mkuu
Ili kukupunguzia gharama za charger zako nenda kanunue charger za dc ambazo hamna haja ya kutumia inventer... hizo zitasaidia kuchaji hizi simu zote isipo kuwa iphone labda niendelee na utafiti nijue ni kwanini
 
Mkuu hiyo inverter inatoa umeme mwingi,
Inawezekana betri yako ime overcharge, tumia voltmeter upime emf ya betri yako kama itazidi 13.5v ujue tatizo ni hilo. Umeunganisha charge controller?
hapana sijaweka charger controler
 
Duh pole kwa tatizo hilo mkuu
Ili kukupunguzia gharama za charger zako nenda kanunue charger za dc ambazo hamna haja ya kutumia inventer... hizo zitasaidia kuchaji hizi simu zote isipo kuwa iphone labda niendelee na utafiti nijue ni kwanini
mkuu tatizo la hizi chager za dc hazikawii kufa. Ila huenda labda ni ktokana na aina ya charger. Je ni dc charger gani nikanunue na wapi. mimi nipo Dar
 
Back
Top Bottom