Tatizo la invetor na battery ya sola(Umeme)

bajok

Senior Member
Jun 6, 2016
160
69
Habari za leo wadau,

Nombeni msaada kwenye hili, nina invetor watt 150, battery (sundar N18) na panel sundar watt 30 na nimetumia waya wa 1.5mm kutokea kwenye sollar panel kuleta umeme kwenye battery. Nimekuwa nikiitumia vizuri kwa kucharge laptop yangu, au simu na kutumia taa 2 (watt 1) bila shida yoyote

Sasa naona juzi nimeconnect invetor kwenye battery ikawaka na kwa sababu ni usiku nikaconect na taa pia, kwa maana ya kwamba vile vibanio vya nyaya za taa nikavibana kwenye vibanio vya nyaya za invetor, mara invetor ikazima!

Baada ya hapo nikaondoa nyaya za taa nikawa naconnect invetor peke ake lakini nikaona kila ninapoweka pale kwenye terminal za battery, invetor inawaka na kuzima hapohapo na ile button ya cicuit breaker inafyatuka (pop up), mda mwingine nikitaka kuconect zinatokea cheche kwenye vile vibanio vya invetor kama vile kuna short hivi.

Sasa sijui tatizo ni nini, kwa sasa situmii invetor natumia tu mfumo ya DC kwaajili ya taa na kucharge simu

Invetor, battery na panel vyote nimenunua mwezi huu huu wa 1
Msaada wenu wadau,
Natanguliza shukrani.
 
Battery ya n18 inverter ya kazi gan mkuu kumbuka inverter pia huhitaji moto kwa ajili ya kubadili moto dc-ac
Ondoa hy inverter ita ua Battery hapo funga controller inatosha
 
Battery ya n18 inverter ya kazi gan mkuu kumbuka inverter pia huhitaji moto kwa ajili ya kubadili moto dc-ac
Ondoa hy inverter ita ua Battery hapo funga controller inatosha
Hawezi kuchaji laptop bila inverter.
 
Habari za leo wadau,

Nombeni msaada kwenye hili, nina invetor watt 150, battery (sundar N18) na panel sundar watt 30 na nimetumia waya wa 1.5mm kutokea kwenye sollar panel kuleta umeme kwenye battery. Nimekuwa nikiitumia vizuri kwa kucharge laptop yangu, au simu na kutumia taa 2 (watt 1) bila shida yoyote

Sasa naona juzi nimeconnect invetor kwenye battery ikawaka na kwa sababu ni usiku nikaconect na taa pia, kwa maana ya kwamba vile vibanio vya nyaya za taa nikavibana kwenye vibanio vya nyaya za invetor, mara invetor ikazima!

Baada ya hapo nikaondoa nyaya za taa nikawa naconnect invetor peke ake lakini nikaona kila ninapoweka pale kwenye terminal za battery, invetor inawaka na kuzima hapohapo na ile button ya cicuit breaker inafyatuka (pop up), mda mwingine nikitaka kuconect zinatokea cheche kwenye vile vibanio vya invetor kama vile kuna short hivi.

Sasa sijui tatizo ni nini, kwa sasa situmii invetor natumia tu mfumo ya DC kwaajili ya taa na kucharge simu

Invetor, battery na panel vyote nimenunua mwezi huu huu wa 1
Msaada wenu wadau,
Natanguliza shukrani.
Kilichotokea hapo inverter imecolapse sababu unailazimisha kufanya kazi kubwa zaidi ya uwezo wake. Pc inahitaji moto mwingi, hivyo ili usiioverwork inveta ulitakiwa uweke ya power ya 300W hata ukiiwasha inakua haielemewi, km ulikua makini mshale wa inveta ulikua hautulii na kelele ilikua juu wakati unachaji pc
 
Let's go together.

Likely two scenarios here.

Ikizima bila circuit breaker tripping ni low battery

Ikizima with tripping circuit breaker it's overload problem ( I mean umezidisha current/ampere usage)

The former is straightforward, let's work on the later scenario.

Ideally, max out ampere ya 150w inverter ni (150/230= 652mA)

Input DC amperes to produce 652mA AC = (150/12=12.5A)

So hii 12.5A at 12V DC itatoka kwenye battery kupitia hiyo breaker kwenda kwenye transformer ili kuzalisha 230V, 652mA AC

(Assuming ideal First law of thermodynamics)

Rating ya hiyo fuse inakuaga 15A

Kama uliweka AC loads(simu, etc) at once zenye amperage kufikia au zaidi ya 652mA transformer ilikua ina work harder to demand higher DC current above 12.5A through hiyo breaker ili kupower loads. Matokeo yake imefanya repeatitive trip-connect nyingi hence contact za thermo breaker zime wear out au less contact due to DC sparks mpaka inatrip at very small mA load.

Replace hiyo breaker. Sh. 5,000

I solved a similar thermobreaker problem.
 
Hawezi kuchaji laptop bila inverter.
Unaweza kuchaji bila inverter. Zipo dc to dc laptop charger ambazo kazi yake ni kupandisha volts kutoka 12v had kati ya 18.5-19.5v. Zinafanya kazi vizuri sana na wala hazimalizi chaji haraka.
 
Back
Top Bottom