DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,949
- 45,429
Naomba kujuwa ....Endapo mtuhumiwa akifikishwa mahakamani..akafunguliwa ...mashtaka...kwa kifungu ambacho...sio sahii...mfano: Mtu ...ametenda kosa .ambalo ilo kosa linajulikana kuwa amevunja sheria ya mwaka wa 2009 lakini ...anapofikishwa mahakamani ..anaosemewa shtaka amevunja sheria ya mwaka 2005....Nauliza je hapo hukumu ikitolewa ..inaweza kuwa ..mtuhumiwa ...ametendewa haki.